mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
We ni Mkenya eeh?
Yaonyesha awali ulimpenda kwa fedha zake.
Mfanyie counseling, atabadilika.
At the age of 33 he is still very bumpy!...but in just 5yrs ataanza kuwaza.
mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
duh! bidada naomba awali ya yote unijibu maswali yangu haya kabla sijakushauri,
1) wakati wa urafiki ulijipa muda wa kutosha kumfaham mwenzi wako kabla ya uchumba?
2) mahusiano yenu yalidumu kwa muda gani hadi kufikia uchumba na ndoa?
3) mlikuwa na ukaribu ama yalikuwa ni mapenzi ya mbali?
4) je wakati wa uchumba uliona dalili yyte ya mumeo kuwa msiri ama hukuona?
5) unawafaham rafiki wa karibu wa mumeo? kama ndio ni watu wa aina gani?
6) unaonaje ushiriki wa muameo kwenye majukumu ya familia kama kwa baba yake na mama yake?
7) mumeo ni mlevi? mtu wa kujairusha? mtu wa ofa?
8) je yeye anaoanekana kuumia ama kuridhika na hali iliyoko?
9) zaid ya hili tatizo je wewe unahisi mumeo ana siri nyingine mbaya moyon mwake)
ila bibie si ulikubali kuwa naye kwa raha na shida...kubaliana na kila hali tu kwani ulifikiri akishakuona ndio utakaa as if umeingia kwenye ufalme wa mungu ni mwendo wa kuimba na kucheza???mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa mwaka huu ,I'm pregnant nategemea kujifungua mwezi wa 12,
Tatizo langu ni huyu mume wangu its like he's irresponsible,kila kitu kwake anaona hakina maana wakati wa uchumba hata sofa alikuwa Hana mimi ndie. nilimshikia bango hadi akanunua,alikuwa anaendesha swift akabadilisha
he's 33 years old anafanya kazi bank kwenye manager position for so many years now ila hata kakiwanja Hana,nimegundua ana deni kubwa kazini nikimuuliza alichukua mkopo wa nini haniambii,hela mwisho wa mwezi inaishia kwenye madeni mimi nabaki kuwa provider of the house for the wholy month,
mwezi uliopita gari yake wamechukua wadeni wake
Maisha yangu yamechange so abruptly,I was beta off before marriage,I can't even do shopping yangu the way I used to ,kazini inabidi nimpeleke na gari yangu asubuhi na jioni nimpitie,
duh! bidada naomba awali ya yote unijibu maswali yangu haya kabla sijakushauri,
1) wakati wa urafiki ulijipa muda wa kutosha kumfaham mwenzi wako kabla ya uchumba?
2) mahusiano yenu yalidumu kwa muda gani hadi kufikia uchumba na ndoa?
3) mlikuwa na ukaribu ama yalikuwa ni mapenzi ya mbali?
4) je wakati wa uchumba uliona dalili yyte ya mumeo kuwa msiri ama hukuona?
5) unawafaham rafiki wa karibu wa mumeo? kama ndio ni watu wa aina gani?
6) unaonaje ushiriki wa muameo kwenye majukumu ya familia kama kwa baba yake na mama yake?
7) mumeo ni mlevi? mtu wa kujairusha? mtu wa ofa?
8) je yeye anaoanekana kuumia ama kuridhika na hali iliyoko?
9) zaid ya hili tatizo je wewe unahisi mumeo ana siri nyingine mbaya moyon mwake)
tulikuwa kwenye relation for 1 year and I got pregnant so we decided to get married though haikuwa Kwenye plan ya muda mfupi,
2)thanks God hanywi pombe wala Sio mtu wa ofa
3)Alikuwa anataka sana ndoa hata nilipopata mimba alifurahi Sana coz alijua ameshanikamata
4)sidhani Kama ana siri nadhani ni hayo mambo ya finacial may be anaona akiniambia ntamdharau
duh! bidada naomba awali ya yote unijibu maswali yangu haya kabla sijakushauri,
1) wakati wa urafiki ulijipa muda wa kutosha kumfaham mwenzi wako kabla ya uchumba?
2) mahusiano yenu yalidumu kwa muda gani hadi kufikia uchumba na ndoa?
3) mlikuwa na ukaribu ama yalikuwa ni mapenzi ya mbali?
4) je wakati wa uchumba uliona dalili yyte ya mumeo kuwa msiri ama hukuona?
5) unawafaham rafiki wa karibu wa mumeo? kama ndio ni watu wa aina gani?
6) unaonaje ushiriki wa muameo kwenye majukumu ya familia kama kwa baba yake na mama yake?
7) mumeo ni mlevi? mtu wa kujairusha? mtu wa ofa?
8) je yeye anaoanekana kuumia ama kuridhika na hali iliyoko?
9) zaid ya hili tatizo je wewe unahisi mumeo ana siri nyingine mbaya moyon mwake)