floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 852
Nilianza Rasmi kujihusisha kimapenzi na wanawake mwaka 2009 kipindi namaliza elimu yangu ya sekondali chaajabu ni kwamba mpaka leo sijawahi kua na mwanamke ambaye anajiweza kiuchumi,,wanawake zangu wote huwa wanakua tegemezi yaani ananitegemea kwa kila kitu..
Huwa nashangaa sana baadhi ya marafiki zangu wanatumiwa pesa na wapenzi wao pindi wakikwama mimi huwa najiuliza huwa nakosea wapi?
Mbaya zaidi juzi nimeenda mgahawa mmoja hapa mjini kupata chakula kumbe wakati huo waleti haipo mfukoni (niliisaau ofsini) nimemaliza kula chakula ile nazama mfukoni hamna walet na ofsini mbali nikampigia simu mwanamke wangu anitumie 5000 tuu nilipe hela ya watu, yeye akanijibu "oooh bby ntatoa wapi hela mimi sina hela"
Ili nisisumbue watu ikabidi nimpigie simu mama angu (yupo mkoani) yeye akanitumia pesa mda ule ule,,na nikalipa deni la msosi
hapo najiuliza kwanini napata wanawake magalasa ni warembo tuu lakini hawajiwezi kiuchumi nakosea wapi wakuu?
Huwa nashangaa sana baadhi ya marafiki zangu wanatumiwa pesa na wapenzi wao pindi wakikwama mimi huwa najiuliza huwa nakosea wapi?
Mbaya zaidi juzi nimeenda mgahawa mmoja hapa mjini kupata chakula kumbe wakati huo waleti haipo mfukoni (niliisaau ofsini) nimemaliza kula chakula ile nazama mfukoni hamna walet na ofsini mbali nikampigia simu mwanamke wangu anitumie 5000 tuu nilipe hela ya watu, yeye akanijibu "oooh bby ntatoa wapi hela mimi sina hela"
Ili nisisumbue watu ikabidi nimpigie simu mama angu (yupo mkoani) yeye akanitumia pesa mda ule ule,,na nikalipa deni la msosi
hapo najiuliza kwanini napata wanawake magalasa ni warembo tuu lakini hawajiwezi kiuchumi nakosea wapi wakuu?