#COVID19 Napata tabu kidogo na uvaaji wa barakoa!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,502
2,046
Kila ninapowaona viongozi wakuu na uvaaji barakoa uaniletea maswali kadhaa.

Mara nyingi utawaona wamezingatia kuvaa barakoa mara tu wanapoonana lakini baada ya kuongea mawili matatu unakuta wamezivua barakoa na kuendelea kupiga soga.

Hii inamaanisha nini?

Hata hivyo ingawa mimi sio mtaalam wa afya imani yangu ni kwamba kwa mtindo wa maisha tunaoisha wakazi wa dar, hasa sisi raia wa kawaida ambao tunategemea usafiri wa umma na shughuli zetu ni za kujichanganya, ni idadi ndogo sana ya raia ambao bado hawajaambukizwa corona au hawapo kabisa.

Ukizingatia namna ugonjwa unavyoenezwa na mtindo wa maisha yetu unaponaje kuambukizwa? Ombi langu ni kwamba turejee maisha ya kawaida na si kulazimishana kununua barakoa wakati inajulikana kabisa kwamba ni wenye maisha ya juu tu wenye uwezo wa kuepuka corona kwa asilimia japo 70.
 
Mimi napata tabu pale ninapowaona wamevaa barakoa ila wanashikana mikono na kukumbatiana kama ishara ya salamu
 

1628875817446.png


Wakati wa Uhai wa JPM hakudhubutu kuja kuleta uhuni wake,

mwizi mkubwa huyu alimwingiza chaka Mkapa.

1628875943997.png


1628875963003.png


1628875984272.png


Unafiki unawasumbua.
 
Swala la Korona kimsingi hakuna kiongozi ambaye linamwingia akilini Ila kuna external force ...!! Wananchi wa kawaida hawapo aware kabisa na korona wanaiskia kwenye magazeti na Runinga, hata watetezi wa chanjo waliopo humu believe me hawavai barakoa wala vitakasa mikono just kwenda tu na upepo unavyotembea ... Angalia usafr wa Uma wakat wa asubh na jioni ndo utajua no body cares , mambo ya chanjo sjui vitakasa mikono , hayo ni nguvu toka nje nothing else
 
Hizo barakoa wanavaa kinafiki tu ili mkuu aone wapo pamoja, ila mioyoni mwao wanazichukia kama nini. Ili kauli chanjo haifai na tumtangulize Mungu hata katika Corona tutashinda, Mungu hashindwi chochote zinaimba mioyoni mwao.
 
Swala la Korona kimsingi hakuna kiongozi ambaye linamwingia akilini Ila kuna external force ...!! Wananchi wa kawaida hawapo aware kabisa na korona wanaiskia kwenye magazeti na Runinga, hata watetezi wa chanjo waliopo humu believe me hawavai barakoa wala vitakasa mikono just kwenda tu na upepo unavyotembea ... Angalia usafr wa Uma wakat wa asubh na jioni ndo utajua no body cares , mambo ya chanjo sjui vitakasa mikono , hayo ni nguvu toka nje nothing else
Nilikuwa Dar juzi aisee ahahahah hakyamungu watu hawana habari na uhuni wa Dada!

Hats hapa Mwanza sioni yaani! Eti mitungi haitoshi ahahahahahah dah hii nchi sjui niifanyeje *****
 
Back
Top Bottom