Hapo umenena kaka,nina rafiki yangu alipigwa kibuti na mchumba'ake kisa msichana anadai hayuko tayari kwenda clinic kwa daladala kwa kuwa rafiki yangu ndo kwanza alikuwa kaajiriwa na hana hata gari.
Nishawahi kuwasikia mabinti wakati niko chuo wanadai eti wao kwenye ndoa ni KWA RAHA TU,WAKATI WA SHIDA mwanaume peke yake!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums