zukisa
Member
- Feb 8, 2017
- 47
- 28
Habari za sahizi wana JF.
Nimekua nikipata maumivu makali sana ya kifua upande wa kushoto nikiwa nameza chakula au kimiminika chochote. Tatizo hilo limeambatana na vichomi hapo hapo kifuani, kwenye mabega, mkono pamoja na mgongo upande huu huu wa kushoto, na ata nikiwa nacheua pia nasikia maumivu.
Mwanzo nilidhani tatizo ni ziwa nikaenda kufanya utrasound lakini nikaambiwa hakuna tatizo.
Naombeni msaada Doctors kuniambia hii inaweza ikawa tatizo gani.
Nimekua nikipata maumivu makali sana ya kifua upande wa kushoto nikiwa nameza chakula au kimiminika chochote. Tatizo hilo limeambatana na vichomi hapo hapo kifuani, kwenye mabega, mkono pamoja na mgongo upande huu huu wa kushoto, na ata nikiwa nacheua pia nasikia maumivu.
Mwanzo nilidhani tatizo ni ziwa nikaenda kufanya utrasound lakini nikaambiwa hakuna tatizo.
Naombeni msaada Doctors kuniambia hii inaweza ikawa tatizo gani.