Napata changamoto kubwa katika kupanga mambo yangu

Napata changamoto kubwa katika kupanga mambo yangu

njoo nikupangie bajeti ila ujiaNdae mlo m1 kw ck,, bia unaistaafu,,,, vimada marufuku,,,,,, 4Gb utazisikiaga kwa wenzio,,,, nyumba ya kupanga yenye kibatar,,,, kutembelea / kusalimia marafik / ndg ndo mwisho,,, kazini unapanda daladala 1 kM kuna inayofuata unapaswa utembee,,, [marufuku kupanda mabasi y mwendo kasi] mda wa kazn utakula ofa ya msOsi wa ofisin hakuna kununua maji utakunywa ya bomban,,,,,, nguo 7 tu sulual2 tishrt 5,, viatu mtumba 1 yeboyeb1,,,, kunyoa mara 1 kw mwez,,,,, mafta y kupaka babycare,,,, sabun OMO hyohyo unaogea na kufulia----------- MPAKA HAPO ULIDHIKE NA KILE UNACHO KITAFTA,,,. malengo hayaji kwa kujiluxiary mkuu.
jaaamaaanii
 
Fanyia kazi self esteem yako na goal setting. Hapo ndio kwenye shida kubwa.

Jifunze kuweka mipango inayotekelezeka na priorities za maisha yako na kuhakikisha unakamilisha implementation yake ndani ya muda uliojiwekea.

Be realistic!! Epuka peer pressure. Always bakia katika malengo yako. You will definitely get there within the defined timeline.
 
Fanyia kazi self esteem yako na goal setting. Hapo ndio kwenye shida kubwa.

Jifunze kuweka mipango inayotekelezeka na priorities za maisha yako na kuhakikisha unakamilisha implementation yake ndani ya muda uliojiwekea.

Be realistic!! Epuka peer pressure. Always bakia katika malengo yako. You will definitely get there within the defined timeline.
Nitafanya bidii Mkuu. Asante sana
 
njoo nikupangie bajeti ila ujiaNdae mlo m1 kw ck,, bia unaistaafu,,,, vimada marufuku,,,,,, 4Gb utazisikiaga kwa wenzio,,,, nyumba ya kupanga yenye kibatar,,,, kutembelea / kusalimia marafik / ndg ndo mwisho,,, kazini unapanda daladala 1 kM kuna inayofuata unapaswa utembee,,, [marufuku kupanda mabasi y mwendo kasi] mda wa kazn utakula ofa ya msOsi wa ofisin hakuna kununua maji utakunywa ya bomban,,,,,, nguo 7 tu sulual2 tishrt 5,, viatu mtumba 1 yeboyeb1,,,, kunyoa mara 1 kw mwez,,,,, mafta y kupaka babycare,,,, sabun OMO hyohyo unaogea na kufulia----------- MPAKA HAPO ULIDHIKE NA KILE UNACHO KITAFTA,,,. malengo hayaji kwa kujiluxiary mkuu.

Duuuh...wewe ni kiboko aisee. Kweli huyo jamaa anakufaa. Ha ha ha
 
kufaham tatizo ni moja ya suluhisho. naona babysteps za kufahamu tatizo na abit of motive ya kutaka kubadilika. ambacho sikioni ni "vision/purpose".
ukiwa na malengo utakua na vitu hivi
-sababu ya kufanya jambo "reason"
-utaona mwisho wa jambo kabla huja anza "results"
-utapata msukumo sahihi ikiwemo na discipline "how"
Tafuta malengo ya muda mfupi na ya muda mrefu. weka milestones na rewards and punishments in between utatoka tu. na acha kupoteza muda kuwaza na kuandika, anza kutenda.
 
Haya matatizo na mimi ninayo tena nikiwa napesa nachanganyikiwa sana na situli katika matumizi
 
Usiku huu. Ngoja nimalize kumshugulikia shemeji yako, then ntakuja kukupa ushauri. Anyway, Hongera sana kwa kuzitambua changamoto zinazokuzunguka. Ile tu kuzitambua na kuziainisha vizuri kama ulivyoandika ni moja ya hatua.
Ngoja nikupe mfano. Nilikuwa naumwa ugonjwa fulani kwa miaka 13 lakini nilikuwa sijui kama naumwa
Nilidhani ni mazingira tu. Ugonjwa ule ulinitesa sana bt baada ya kugundua kuwa naumwa. haikuchukua miezi sita nikaanza kupata matibabu na maendeleo ni mazuri tu kwa kweli. So am sure na wewe utatoka hapo.
 
Asante Mkuu.

Wakati mwingine nahisi labda nakosa descipline. Maana nikiweka malengo ya kusave mathalani 450,000/- kwa mwezi unakuta mwisho wa huo mwezi nina 50,000/- tuu.

Yaani inakuwa ni as if nikipanga ndio matatizo ya kiuchumi yanaongezeka. Kuna kipindi nikaamua kutosave. Nikasema kwa siku nitatumia 10,000/- lakini baada ya wiki nikifanya tathmini najikuta nimetumia 150,000/-.

Nahisi kuna kitu nimemiss. Am looking for it. Somewhere somehow kuna mambo nafanya ambayo sio sahihi.

Nisiwe Muongo. Nina miaka mingi sijaingia kanisani. Huwa nachoka kufuata zile formalities za kanisani. Natamani mchungaji aongee kuhusu maisha na namna ya kushinda changamoto za maisha.

Nilianza kwenda kwenye morning glory. Mwanzoni nikawa nafurahi lakini as days pass on nikawa naboeka na baadhi ya mafundisho. Ikawa nikienda jumatatu kama sikulipenda somo siendi tena until other week Monday.

Mwisho nikaacha kabisa. Nikaanza kusoma vitabu vya self empowerment. Nakuwa active for a while then all over the sudden narudi pale pale.

Nikawa na subscribe YouTube channels za motivational speeches nyingine nimezidownload. But nimeishia kuzikariri.

Nimekuwa mtu wa kushauri watu mambo mazuri but I can't do the same for my self.

Najisikia vibaya. But sijakata tamaa. Nina miaka mitano muajiriwa but Leo hii account yangu ina 100,000/- nikiwaza roho inaniuma maana naona wenzangu wanavyopata tabu mtaani.

Mimi nina kazi but naona nimeshindwa kujiendeleza.

Kuna kipindi nilikuwa natembea na mpaka laki mbili mfukoni. Nanunua nguo isiponiyosha nawapa wadogo zangu. Nilipenda zaidi kufanya wengine wafurahi kuliko Mimi mwenyewe.

Nilikuwa najisikia vibaya kumpa omba omba shillingi mia. Nikitoa hela ndogo sana ni elfu mbili. Nilikuwa najisikia furaha nikiona wakifurahi na kunishukuru. But in long run sikuweza kujiwekea chochote.

Kila siku naanza kubadilika. Kila siku kasema Leo ni siku yangu. But jioni utanikuta alone nikijilaumu kwa kutumia hela vibaya ama kuutumia muda wangu vibaya.

Sitaki kuamini kuwa it's an internal issue, but slowly naanza kukubali.

Nilipanga kila Sunday morning niwe nakimbia maana weekdays nakuwa busy na kazi pamoja na shule ila ikifika jumapili Asubuhi najisemea acha nilale maana wiki nzima nilikuwa busy mazoezi nitaenda jioni. Nitaamka saa nne nifue, nioge nile hapo ni saa tisa ikifika jioni hamu ya mazoezi imekata natamani nikae niangalie movie ndani ya nafsi nasema nawaza how to improve my self.

It has been rotating like that. Everyday back again at the point of departures. Yaani it's like a treadmill
kwanza pole kakangu,...lakini namna ya kufanya ipo mbona???Kuna fixed account,Kuna vikoba,Kuna kucheza upatu,Kuna kuhifadhiwa pesa na mtu unayemuamini pia.
yote hayo,...jaribu moja wapo.
 
Nadhani tatizo la huyu mhishimiwa lilianza pale alipopata kazi asiyotegemea japo hakuwa na vigezo stahiki,naamini kama angekuwa amekaza msuli chuo akatoka na cheti akaingia mtaani akizunguka na bahasha kusambaza notifications kwa miaka mitatu bila kisha kwa bahati akapata pakujishikiza...angekuja hapa kuomba ushauri aanzishe mradi gani wakumuingizia pesa sio kwamba ameshindwa kutekeleza malengo yake.mkuu @ContiniousImprovement nachokiona kwako umekosa nidhamu ya pesa,imekuwa easy sana kuzipata that's why unachukulia ni jambo la kawaida kuishi kijana bila kujiwekea akiba..nakushauri fungua fixed account uwe unaweka pesa kwa ajili ya malengo yako,pia fanya jambo kwa uwezo wako,usilazimishe mambo.na muhimu jaribu kuithamini kila shilingi unayoishika mkononi mwako usitapanye kwa vitu visivyo vya lazima.
 
Nadhani tatizo la huyu mhishimiwa lilianza pale alipopata kazi asiyotegemea japo hakuwa na vigezo stahiki,naamini kama angekuwa amekaza msuli chuo akatoka na cheti akaingia mtaani akizunguka na bahasha kusambaza notifications kwa miaka mitatu bila kisha kwa bahati akapata pakujishikiza...angekuja hapa kuomba ushauri aanzishe mradi gani wakumuingizia pesa sio kwamba ameshindwa kutekeleza malengo yake.mkuu @ContiniousImprovement nachokiona kwako umekosa nidhamu ya pesa,imekuwa easy sana kuzipata that's why unachukulia ni jambo la kawaida kuishi kijana bila kujiwekea akiba..nakushauri fungua fixed account uwe unaweka pesa kwa ajili ya malengo yako,pia fanya jambo kwa uwezo wako,usilazimishe mambo.na muhimu jaribu kuithamini kila shilingi unayoishika mkononi mwako usitapanye kwa vitu visivyo vya lazima.
Sawa. I will do that. Asante Mkuu
 
Vijana wengi tupo hivi..
Nimeguswa na mada yako..
Kuna vitu nilijifunza vinanisaidia labda na wewe vitakusaidia..
Kuwa makini sana na marafiki unaotumia muda mwingi nao.. chagua hata watu wazima kidogo waliokuzidi umri na kipato, utajikuta unajifunza kila siku.
Katika mitandao ya kijamii kuna mawili, either usiingie kabisa, au unapoingia basi usibabaishwe na maisha wanayoyaposti wenzio huko, wengi wetu tunapatwa na sonona tukiona age mates zetu wakionekana na hali nzuri mitandaoni, wakati ukweli ni kwamba mara nyingi yale ni maigizo tu..hakuna anayeposti failure yake.
Cha mwisho, kuwa karibu na mungu wako, kuna power flani utaipata
 
Vijana wengi tupo hivi..
Nimeguswa na mada yako..
Kuna vitu nilijifunza vinanisaidia labda na wewe vitakusaidia..
Kuwa makini sana na marafiki unaotumia muda mwingi nao.. chagua hata watu wazima kidogo waliokuzidi umri na kipato, utajikuta unajifunza kila siku.
Katika mitandao ya kijamii kuna mawili, either usiingie kabisa, au unapoingia basi usibabaishwe na maisha wanayoyaposti wenzio huko, wengi wetu tunapatwa na sonona tukiona age mates zetu wakionekana na hali nzuri mitandaoni, wakati ukweli ni kwamba mara nyingi yale ni maigizo tu..hakuna anayeposti failure yake.
Cha mwisho, kuwa karibu na mungu wako, kuna power flani utaipata


MIE NAOMBA NIMKUMBUSHE KIJANA KUWA
"KUMCHA BWANA NI CHANZO CHA MAARIFA".... MUNGU NDIO KILA KITU AANZE NA KUMKABIDHI MUNGU MATATIZO YAKE NA BWANA ATATENDA MIUJIZA... ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA KAMA ALIVYOKAUSHA BAHARI WANA WA ISRAEL WAKAPITA
 
Sawa. I will do that. Asante Mkuu

DOGO...PIA USICHANGANYIKIWE KWA SANA KISA HUJAWEKA AKIBA BANK...PRINCIPLE ZA KUFANYA SEVING NI PALE KUNAPOKUWA NA ZIADA...ASIKUDANGANYE MTU KUWA UTASEVU WAKATI KIPATO BUKU MATUMIZI SAHIHI MILIONI...HATA UKIMPA MALAIKA AFANYE SEVINGS ATASHINDWA.

MIE BINAFSI SIAMINI SANA KATIKA SEVINGS ILA NAAMINI KATIKA KUFANYA MATUMIZI SAHIHI NA ULIYOYAPANGA....USIJIDANGANYE KUWA UNASEVU WAKATI HELA ULIYOWEKA BANK NI KWA AJILI YA KUNUNUA KIWANJA MWEZI WA 12. HIYO SIO SEVINGS HIYO NI PESA ILIYOWEKWA BANK KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIPANGO FULANI ULIYOJIWEKEA.

SEVINGS NI PALE MAHITAJI YANAPOKAMILIKA SO UNAWEKA AKIBA KWA AJILI YA YANAYOWEZA KUJITOKEZA (UNCERTAINTIES)
 
kwanza pole kakangu,...lakini namna ya kufanya ipo mbona???Kuna fixed account,Kuna vikoba,Kuna kucheza upatu,Kuna kuhifadhiwa pesa na mtu unayemuamini pia.
yote hayo,...jaribu moja wapo.

NADHANI TATIZO KUBWA LA DOGO NI "UTEKELEZAJI WA MALENGO".... SASA AKIWEKA FIXED DEPOSIT KWA HELA IPI NA MSHAHARA UNAISHA TAR 15?.. KIMSINGI HANA CHA KUWEKA BANK JAPO ANATAMANI IWE HIVYO.
AWEKE MALENGO YANAYOTEKELEZEKA ANA ATEKELEZE TARATIBU ASIWEKE TARGETS KUBWA NDANI YA MUDA MFUPI.

PIA ANA - PEER GROUP PRESHA.... ANAJIONA KACHELEWA KIMAISHA WENZAKE ALIOMALIZA NAO SHULE WAMEMUACHA MBALIIII... MASIKINI DOGO ANAJILINGANISHA NA MAJIZI YA BANDARINI NA TRA. ANGEJUWA KUWA JELA INAWAITA ASINGETAMANI KUWA KAMA WAO.... DOGO ANATAKIWA AJITAMBUE "ZETU DAGAA KUKU TAMAA" AKITAKA KUKOMAAA "KWANI WAO WAWEZE WANANINI NA SISI TUSHINDWE TUNA NINI" ITAMTESA SANA.
 
Back
Top Bottom