Naota nadanganywa

dah haya mambo mkuu wangu yanaweza kukufanya ukaumia hata kisaikolojia,njia nzuri ni kuhakikisha unatreat vizur tena kwa upendo mkubwa,na wala usimwonyeshe kama unawasiwasi naye,always mwambie nakuamin cna mke wangu na cdhan nitakua na hofu juu yako.wala cmu usiishike,then kimya kimya,tafuta hata kafanya kaz ka kike maeneo ya kazin hata kama mlinzi awe wa kike lakin mpe kisa halisi,mwambie akusaidie kumchek utampata 2 kama unajua kuongea na watu.sometimes akienda oga,au kalala cmu c inakua pemben chukua pitia pitia bila yeye kukuona,mungu hatokuangusha hata cku moja kama wewe ni mwaminifu.nataman ningekuambia mwache kuna cku atajiheshmu nachoogopa haya maradh mkuu wangu unaweza mwacha ila akikuletea Ukimwi ndo hvyo tena unakata roho.
 
Hivi watu wengine huwaGa hamna ya kufanya au ? you sound like ww hufanyi kazi aka golikipa wa Villa au anti-social ect. To me, kwanza hiyo kuanza kukuhadithia mambo hayo ni either unaboa sana home au ilikuwa ni tip kuwa nimeshaona vidume na soon ataanza kuomba miongozo !

Yaani mpaka una muda wa kuangalia pay slip yake ? Kama sio anti-social, basi na ww ni muda mzuri wa kwenda vijiweni huko ukajifunze waume wenzio huwazaGa nini ktk mambo ya maisha huku wakipiga moja, mbili. Rudi after midnight na mwambie kuwa ulikuwa unajichanganya maana unaboreka home. Ila kama ww ni kipa, mmhh pole sana unless it is coz of medical reasons...
 
usikurupuke kaka vuta subira! Mara nyingi mtu anapoanza kazi huwa kwenye probation na ktk kipindi hiki kazi huwa si nyingi hivyo muda wa kutoka kazini huwa ni wa kawaida. Na kama ujuavyo new job siku zote huja na new people, new challenges and new environment. Kutokana na hilo, kuna uwezekano wakati wa kuadapt mazingira ndiyo kama hivyo lazima akusimulie kila kinachoendelea huko kwenye kazi mpya. Ni jambo la kawaida unapopata kazi upya kusimulia yale mazingira na watu wapya unaokutana nao huko kazini kwa mwenzi wako ukirudi nyumbani. Lakini ukishazoea, kila kitu unaona kawaida!

Cha msingi hapa brother ni kumpa muda na wakati huo hio kufanya uchunguzi wa kina. Unaweza kuanza kwa kujitahidi kuzoeana na watu wa ofcn kwake wale waaminifu na kupiga safari za kushtukiza hapo kazini pasipo yeye kujuwa na kusoma reaction yake thereafter. Kama kuna mambo anayoyafanya huko kazini kwake hatapenda kukuona maana moyo utakuwa unamsuta. Na pia kumbuka kuwa mara nyingi watu huwa hawapendi kumuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya, watakwambia tu hata kwa mafumbo.

Kama utapenda kufanya uchunguzi ni-PM nikupe ma-njia ya kufanya.

Pole sana mkuu
 
Mchunguze ili ujue vizuri ,maana anaweza kuwa anamegwa au yupo busy tu.
Hlf we story za kutongozwa unataka za nini?kujitafutia pressure tu,kwani we ukitongozwa huwa unamwambia??
 
Ww huwa unampa taarifa zako na wale mabint unaochati nao?au wale uaowapaga lunch na vocha?
Toa hisia potofu utakufa na pressure bure,km unajiamini mwamin na mwenzio na km ww huibi amini nawe huibiwi!
 
usikurupuke kaka vuta subira! Mara nyingi mtu anapoanza kazi huwa kwenye probation na ktk kipindi hiki kazi huwa si nyingi hivyo muda wa kutoka kazini huwa ni wa kawaida. Na kama ujuavyo new job siku zote huja na new people, new challenges and new environment. Kutokana na hilo, kuna uwezekano wakati wa kuadapt mazingira ndiyo kama hivyo lazima akusimulie kila kinachoendelea huko kwenye kazi mpya. Ni jambo la kawaida unapopata kazi upya kusimulia yale mazingira na watu wapya unaokutana nao huko kazini kwa mwenzi wako ukirudi nyumbani. Lakini ukishazoea, kila kitu unaona kawaida!

Cha msingi hapa brother ni kumpa muda na wakati huo hio kufanya uchunguzi wa kina. Unaweza kuanza kwa kujitahidi kuzoeana na watu wa ofcn kwake wale waaminifu na kupiga safari za kushtukiza hapo kazini pasipo yeye kujuwa na kusoma reaction yake thereafter. Kama kuna mambo anayoyafanya huko kazini kwake hatapenda kukuona maana moyo utakuwa unamsuta. Na pia kumbuka kuwa mara nyingi watu huwa hawapendi kumuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya, watakwambia tu hata kwa mafumbo.

Kama utapenda kufanya uchunguzi ni-PM nikupe ma-njia ya kufanya.

Pole sana mkuu
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri mkuu, nitaufanyia kazi.
 
kwa wanawake wenzangu sio kila unachofanyiwa huko njiani unamhadithia mumeo,mbona vingine ni vya kujitega wewe mwenyewe isitoshe kwa huyo mama ambao hajawapenda ndio alikuwa anawatolea taarifa mbona kama mwaminifu kweli hasemi kinachomfanya mpaka anachelewa kurudi nymbn.
usimuogope mkeo muulize hv ratiba ya kazi mke wangu imebadilika`?
 
Kaa chini na mkeo muongee kuhusiana na mabadiliko hayo, na umweleze ya kuwa hujafurahishwa nayo. Mwambie ya kuwa unamuamini sana na asikuangushe kwa kwenda kugawa dozi kwa hao wakware.
 
Hii title yako hapo juu umenikumbusha ule wimbo wa "naota naota nadanganywa"
 
Back
Top Bottom