Ni wapi mkuu anapendelea? Unaweza nambia?
Akija upande wenu akafanya miradi ya maendeleo nina haki kusema anawapendelea ninyi?
Ifike pahala watz tuwe na shukrani walau hata kwa mazuri kiongozi anayoyafanya! Hii tabia ya kulalama haitasaidia kitu zaidi unatengeneza chuki zisizo na msingi.
Jspmsl