Naona tatizo lile lile la Kimsingi limeendelea kujirudia

Ni wapi mkuu anapendelea? Unaweza nambia?
Akija upande wenu akafanya miradi ya maendeleo nina haki kusema anawapendelea ninyi?
Ifike pahala watz tuwe na shukrani walau hata kwa mazuri kiongozi anayoyafanya! Hii tabia ya kulalama haitasaidia kitu zaidi unatengeneza chuki zisizo na msingi.
Jspmsl
 
Umeandika Vizuri, Ningekupa "Like" Lakini wewe GENTAMYCINE mara nyingi ni Mnafiki mkubwa.

Ungefanunua vizuri ili na Mimi niweze kupata muda mzuri kukujibu na pengine tuweze kuelewana na hata kuheshimiana zaidi kwani kwa Sisi Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) kutuita ' Wanafiki ' ni ' tusi ' kubwa mno na ambalo halivumiliki. Naomba unifafanulie upesi tafadhali ili nami niweze kukujibu.
 
Niseme tu kwamba hakuna ulazima wowote wa kutaka kumuiga Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere jinsi ya kuhutubia hadhara bila ya kusoma mahala popote. Binadamu tunatofautiana sana tu na ikumbukwe kwamba naturally Nyerere alikuwa ni historian hasa hivyo kuzungumza mara kwa mara Kwake kulikuwa ni jambo rahisi mno na ambalo aliliweza pia.

Sisi akina GENTAMYCINE ambao naturally ni Scientists tutake tusitake hatuna ' ubavu ' wa kuzungumza vizuri na kiufasaha kabisa bila ya kuwa na mwongozo wowote wa Kimaandishi ( hapa namaanisha Hotuba nzima iliyoandikwa )

Yafuatayo ni madhara makubwa ya Wanasayansi akina GENTAMYCINE kupenda kuzungumza mbele ya hadhara bila kusoma katika kile ambacho nimeandikiwa na nimeandaliwa Kukizungumza kwa wanaonisikiliza:

  1. Kupayuka sana
  2. Kuongea pumba nyingi
  3. Kurudiarudia jambo lile lile
  4. Kupoteza ' calories ' nyingi na kila mara ukajikuta unakunywakunywa tu mimaji
  5. Kupandwa na Hasira kwakuwa utajikuta unaibua kitu ambacho hukutakiwa kukisema
  6. Kupoteza muda ambao uliandaliwa kuwepo eneo la tukio
  7. Kuwachosha / Kuwaboa Watu japo wanaweza wasikuonyeshe ila mioyoni wanakusanifu tu
OMBI

Wanasayansi wenzangu hebu tujitahidi sana pale tunapokuwa tunaongea mbele za Watu basi tujitahidi au tuwe tunawaomba ' Wasaidizi ' wetu wawe wanatuandalia ' Hotuba ' zetu ili tukiwa tunaongea basi kweli tuonekane kwamba Sisi akina GENTAMYCINE ni ' Wanasayansi ' wa ukweli na hatukubahatisha kupata Degree, Masters na PhD's zetu.

Nawasilisha.
Mimi nakwenda kuhutubia , nikahutubie mawazo ya mtu mwingine? How come?
 
Ni wapi mkuu anapendelea? Unaweza nambia?
Akija upande wenu akafanya miradi ya maendeleo nina haki kusema anawapendelea ninyi?
Ifike pahala watz tuwe na shukrani walau hata kwa mazuri kiongozi anayoyafanya! Hii tabia ya kulalama haitasaidia kitu zaidi unatengeneza chuki zisizo na msingi.
Jspmsl
Mbona kma unajaa povu mkuu..?? Kwani mleta mada kamsema nani...??

Hahahahahahaha...!!!
 
Back
Top Bottom