nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Au nyie wenzangu mnaonaje.
Maana nimejikuta nachukia huu mfumo usio na usawa kiasi kwamba naona kama tunapoteza hela za walipa kodi ambao hata robo ya idadi yetu hawafiki.
Badala ya kuzitumia kwenye siasa, ni bora zingeenda kujenga madarasa, hospital, barabara, miradi ya maji na mengine mengi ambayo bado yanahitajika.
Ni hayo tu
Maana nimejikuta nachukia huu mfumo usio na usawa kiasi kwamba naona kama tunapoteza hela za walipa kodi ambao hata robo ya idadi yetu hawafiki.
Badala ya kuzitumia kwenye siasa, ni bora zingeenda kujenga madarasa, hospital, barabara, miradi ya maji na mengine mengi ambayo bado yanahitajika.
Ni hayo tu