Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
ooh! nilikua high kidogo. Ndugu yangu panapo tokea migogoro ndani ya nyumba tunapaswa kua makini sana, tusiwe wepesi wa kuchukua maamuzi kama haya, ambayo badae yana weza kuku gharimu wewe au huyo wa nje pia hata mkeo.. Chukua uamuzi sahihi kuanzia sasa. Achana na huyo binti, fanya maisha na mamaa na hilo nahisi litakua fundisho kwako na kwake.
note: usiwe unachukua maamuzi kipindi unahasira
note: usiwe unachukua maamuzi kipindi unahasira
Now u er talking, ile ya kumpiga juu sikuielewa kabsaaaaaa!