HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,205
Hahahaaa suprise hizo nimekoma niliwahi kumnunulia wallet alivyoinanga sasa...nikakoma......huwa namfanyia za msosi tuu coz anakula kila kitu hachagui...
Ila nimejifunza kitu kuwa mwanamke na mwanaume ni viumbe tofauti sana, we unachokiona kizuri mwenzio anakiona cha kigoroko.... Kama una marafiki wanaume jaribu kuwaomba ushauri unapotaka kununua kitu....manake wao wanajua kipi kipo kwenye trend...
Hahaha!
Siku moja nilimnunulia sendo na mkanda!
Hadi alisema hujachagua wewe!
Na ni kweli mkaka wa ofcn alinisaidia:kuchagua! Ikabid nikubali kuwa kweli mtu alipitsha hao wakaka walikuwa wananunua na wao ndo wakanishaur kuwa ni vizuri!
Kesi ikaja! Mazoea na wanaume sitaki!
Cha ajabu ndo mkanda wake mkuu!