It feels good kupewa zawadi,
hata kama ni kitu kidogo
Duniani kuna mambo. Kuna kipindi nilimnunulia mme wangu socks nzuri sana. Ila zikawa zinashika sana kwa juu akishavaa. Baada kama ya siku mbili akanimbia kuwa misocks yako inanibana na kuniachia alama. Je mtu wa namna hii unaweza kumnunulia tena zawadi hata kama ni lesso?
Staff mate wangu ambae ni ke leo kamnunulia mume wake shati jipya la elfu kumi.Nimeumia na kuona wivu kwani mimi tangu nianze mapenzi sijawahi kununuliwa hata bublish.
Haimaanishi kwamba napenda zawadi ama vya bure.Mwanamke anapokupa kitu ni dalili ya kukuthamini.Wenzetu ke wengi wanapenda wapokee tu na hawana moyo wa kutoa.
Wanajua kupenda sana na wanavaa kiheshima na adabu hiyo inawafanya wapende kweli.Dah Naona donge mana ni wanawake wachache sana wa kiivo.
Hapo ndipo nnapokupendea my wife wangu!
tatizo mwanamke ukimpa kiroho safi tu, anaenda kusema kakuchuna
Labda lugha aliyotumia ni kali kidogo, ila na wewe siku ingine kuwa makini usinunue nguo au socks zinabana ukategemea mtu aridhike na kubanwa.
Wanaume wengi hamtumiagi lugha nzuri kabisaaaa, kama hujakipenda kitu muelekeze mtu vizuri tu atakuelewa, sasa sisi tunavaaga sox wapi hadi tujue hii inabana au haibani?
Basi kuna watu wanabahat ila hawazitumii! ! Hakuna kitu nasikia raha kama kumnunulia japo vest tu!
Ila mnunuliwaji sasa anamashauzi huyo! !! Lakn ndo sikomi! Nimo tu!
Ukimletea ataichambua weeeeee!
Na ikitokea anataka kumpa mtu basi hizo ndo Huwa za kwanza! Ukimuuliza mkali huyo!
Sasa mleta mada kama nawewe ni wa dizain hizo ndo maana hawakununulii wanajua utawashushua nazo! Inatakiwa umpate mtu mwenye kipaji hicho (kutoa ni kipaji )
Nimeikomesha hiyo tabia kwa kwenda nae dukani....siku tukienda sokoni namsuprise nampeleka duka la nguo namwambia achague nitamlipia....ila inataka roho ngumu kiasi utaambiw shati elfu 40...ila ndo mahaba tena.
nishasahau kununua boxer na sox,show yote ya boxer zangu na sox huwa inasimamiwa na "mayi waifu wangu".
Yaan yataka moyo mama!
Sasa si unajua zile za suprise! May be katoka safar unamuandalia anakuta ni kitu hajawah kukiona! Nyodo zake sasa! Loh!
Anyway mahaba Niue! Tunaenda hivo hivo!