tatizo mwanamke ukimpa kiroho safi tu, anaenda kusema kakuchuna
Naanza kuhisi we ni mke wangu...
Hii JF hii....
Staff mate wangu ambae ni ke leo kamnunulia mume wake shati jipya la elfu kumi.Nimeumia na kuona wivu kwani mimi tangu nianze mapenzi sijawahi kununuliwa hata bublish.
Haimaanishi kwamba napenda zawadi ama vya bure.Mwanamke anapokupa kitu ni dalili ya kukuthamini.Wenzetu ke wengi wanapenda wapokee tu na hawana moyo wa kutoa.
Wanajua kupenda sana na wanavaa kiheshima na adabu hiyo inawafanya wapende kweli.Dah Naona donge mana ni wanawake wachache sana wa kiivo.
Aisee naomba nikupe zawadi....!It feels good kupewa zawadi,
hata kama ni kitu kidogo
Cc Paw...Kumnunulia mume vitu sio lazima iwe shati ama suruali. Kuna vitu vidogo muhimu sana kama underwear including vests, handkachiefs, socks. Unaweza kununua pia wallet na uturi. Shati ni rahisi lakini sarawili ama suti ni mtihani, same for viatu.
Well, mie huwa sioni kama ni zawadi, naona kama ni sehemu ya wajibu tu. labda kwa vile nae anawajibika sana na matunzo. Mwanaume hajitambulishi, kuna mambo ambayo hasubiri kuombwa ili afanye. Kutokuwajibika ni kama kilema flani hivi
Hahahaaa!
Hapana sio mimi bhana!
Siku ya kwanza mwanamke kuhudumia nyumba unajuwa kilichotokea, walifukuzwa bustanini ....Staff mate wangu ambae ni ke leo kamnunulia mume wake shati jipya la elfu kumi.Nimeumia na kuona wivu kwani mimi tangu nianze mapenzi sijawahi kununuliwa hata bublish.
Haimaanishi kwamba napenda zawadi ama vya bure.Mwanamke anapokupa kitu ni dalili ya kukuthamini.Wenzetu ke wengi wanapenda wapokee tu na hawana moyo wa kutoa.
Wanajua kupenda sana na wanavaa kiheshima na adabu hiyo inawafanya wapende kweli.Dah Naona donge mana ni wanawake wachache sana wa kiivo.