Naona donge kamnunulia mumewe shati

Naona donge kamnunulia mumewe shati

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,782
Staff mate wangu ambae ni ke leo kamnunulia mume wake shati jipya la elfu kumi.Nimeumia na kuona wivu kwani mimi tangu nianze mapenzi sijawahi kununuliwa hata bublish.

Haimaanishi kwamba napenda zawadi ama vya bure.Mwanamke anapokupa kitu ni dalili ya kukuthamini.Wenzetu ke wengi wanapenda wapokee tu na hawana moyo wa kutoa.

Wanajua kupenda sana na wanavaa kiheshima na adabu hiyo inawafanya wapende kweli.Dah Naona donge mana ni wanawake wachache sana wa kiivo.
 
Na wewe unapelekaga zawadi au ndo unatoa pesa tuu? Kumbuka pesa ni tofauti na zawadi....Siku hizi ni nipe nikupe.
 
Kwani Hela Sio Zawadi
 
Na wewe unapelekaga zawadi au ndo unatoa pesa tuu? Kumbuka pesa ni tofauti na zawadi....Siku hizi ni nipe nikupe.

Napeleka Sana.Ila Sipewi Kwanini
 
nishasahau kununua boxer na sox,show yote ya boxer zangu na sox huwa inasimamiwa na "mayi waifu wangu".
 
Staff Mate Wangu Ambae Ni Ke Leo Kamnunulia Mume Wake Shati Jipya La Elfu Kumi.Nimeumia Na Kuona Wivu Kwani Mimi Tangu Nianze Mapenzi Sijawahi Kununuliwa Hata Bublish.Haimaanishi Kwamba Napenda Zawadi Ama Vya Bure.Mwanamke Anapokupa Kitu Ni Dalili Ya Kukuthamini.Wenzetu Ke Wengi Wanapenda Wapokee Tu Na Hawana Moyo Wa Kutoa.Huyu Madam Ni Binti Wa Kiislam Na Amenitamanisha Niwe Muislam.Wanajua Kupenda Sana Na Wanavaa Kiheshima.Na Adabu Hiyo Inawafanya Wapende Kweli.Dah Naona Donge Mana Ni Wanawake Wachache Sana Wa Kiivo
Nadhani zawadi ni kutoka moyoni au niseme kupeana ni kikoa toa na wewe upewe,kama wewe pia unanunua zawadi unampelekea yeye pia anaweza kukununulia kwa wale waelewa,nikupe kisa kidogo nilisafiri na Shongu week2 zilizopita
wakati tuko madukani tuna nunua zawadi yeye alinunulia nguoa watoto wake na mdogo wake,nikamuliza humnunulii MR zawadi alinambia naende zake ana nguo ma begi ma 3, bahati nzuri mume akamtumia sms kua anataka shati zuri alimjibu sina hela nitumie,nilishangaa lakini nikasema ndio maisha ya watu wengine wanavyoishi... kuhusu wewe Mkuu jaribu kuanza kumpa anza na perfume..
 
Nadhani zawadi ni kutoka moyoni au niseme kupeana ni kikoa toa na wewe upewe,kama wewe pia unanunua zawadi unampelekea yeye pia anaweza kukununulia kwa wale waelewa,nikupe kisa kidogo nilisafiri na Shongu week2 zilizopita
wakati tuko madukani tuna nunua zawadi yeye alinunulia nguoa watoto wake na mdogo wake,nikamuliza humnunulii MR zawadi alinambia naende zake ana nguo ma begi ma 3, bahati nzuri mume akamtumia sms kua anataka shati zuri alimjibu sina hela nitumie,nilishangaa lakini nikasema ndio maisha ya watu wengine wanavyoishi... kuhusu wewe Mkuu jaribu kuanza kumpa anza na perfume..

Sawa Sawa Mkuu
 
hahahahahahahahahaha unda tume kufanya utafiti kwa nini unapeleka wewe tu,wakati yeye hatoi zawadi😛opcorn:
 
Duniani kuna mambo. Kuna kipindi nilimnunulia mme wangu socks nzuri sana. Ila zikawa zinashika sana kwa juu akishavaa. Baada kama ya siku mbili akanimbia kuwa misocks yako inanibana na kuniachia alama. Je mtu wa namna hii unaweza kumnunulia tena zawadi hata kama ni lesso?
 
Hahahaaaa.... njoo kwanguu hizo show naziwezaa mbayaa ila hakikisha nawe sio mbahili wa kunipaa pesa tena bila kukuomba na siku nikikuomba kama 100,000 kunogesha unanipa 150,000 au 200,000 sio ukiombwa unatoa hiyohiyoo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom