masangambila
Member
- Dec 4, 2013
- 27
- 3
Kama mliweza kumsikiliza slaa akiwa kakonko aliongea kwa hofu kubwa na kudai kuwa zitto hajafukuzwa anaweza kurudishiwa nafasi zake za uongozi wakati huo huo vikao bikiendelea vya kutaka arudishwe kwenye uongozi huku chadema wenyewe wanakili kuwa bila zito chadema kitayumba.
waambie mana hawaamini kua zitto ni sehemu ya mafanikio ya chedema vijana wa chadema wamekaririshwa kumchukia zitto kwa manufaa ya wakubwa wa chama hicho.