Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Umemaliza mgosi. Gamba wanatapata ile mbaya. Wamchukue na wampe uenyekiti wa chamaKumbe ameandika Gamba- SIMIYU YETU! Napitaaa. Makamanda hatumtaki ZZK magamba simmchukue?
Simiyu Yetu!Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Baada ya siku 14 kuisha utayakumbuka maneno yangu na utanikumbuka kama humtaki zitto jiandae kuhama chadema anarudi na nguvu mpya zitto hafukuziki ndani ya chadema.
Zitto ni alama ya mafanikio ya vijana wenye Ndoto TZ.ZITTO JEMBE!!.ZITTO akunaga!!Kama nyinyi WACHAGGA munataka kuuona MZIKI wake, MFUKUZENI kudadadeki!!!
ndugu zangu wa CDM na CCM hii ni vita ambayo ni ya muda mrefu na kama ni mbinu ya kuivuruga CDM , basi watu hawa walienda chuo kikuu kusomea kuvuruga vyama , lakini leo hii kwa kuwa wananchi hawajawa updated na mambo ya siri ya kichama inakuwa kazi sana kuwa habarisha , ni waombe wana CDM kikao cha chama maadam ndiyo kimeamua wa kina ZZK wana hatia basi tuachie hapo, niseme hata kumrudisha tena ni kikao kiamue si kama wanavyowaona mbowe na slaa kuwa wapo nyuma ya hili , NO SI KWELIViongozi wote wa chadema wanamgwaya zitto baada ya kupata tarifa za kuanza mazungumzo ya zitto kurudishiwa nafasi zake sasa Lisu anaumwa kwa hofu make walimbeza kwa kejeli wanawaza akirudi itakuwaje?
Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Zitto ni zaidi ya Chadema hilo lipo wazi wala halina mushkel.
Zitto ana diwani mmoja tu ktk jimbo lake!Kyela tuna nadiwani 6 wa kuchaguliwa!
Statistics never lie;Zitto hana nguvu zozote za kisiasa Kigoma!Dr Slaa kafanya CCM itoweke Karatu;Mbowe kafanya CHADEMA watawale Hai na Lema kafanya CCM ichakachue Arusha!
Una diwani mmoja tu then wapambe wanakuita kama una nguvu ahhaahaha
Wakuu kunakila hali ya mh.zitto kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi kwenye chama chake hii inatokana na ziara anazofanya dr slaa mikoani na kukutana na upinzani mkali ambao hakuutegemea wazee wa chama cha chadema wameagiza maridhiano yafanyike zitto aruhusiwe kugombea uenyekiti na kurudishiwa nafasi zake zote za uongozi.
Hii inakwenda sambamba na wenzake wote waliofukuzwa na wao watarejeshewe nafasi zao na kuombwa radhi kwa kuzushiwa uongo, chadema wamegundua kuwa endapo zitto atafukuzwa anaweza kukiua chama mapema kabisa ndipo walipoamua bora arudishiwe nafasi zake zote na kuombwa radhi.
jukumu la kumaliza tatizo hili amepewa pf baregu na wenzake,ngoja tusubiri safari inaendelea.
Zitto ni zaidi ya Chadema hilo lipo wazi wala halina mushkel.