Naona aibu

Naona aibu

ajiri suala la janga la taifa watu tupo hme mwaka wa nne tumeamua kujiajiri kwenye hizo biashara na miradi unayoona aibu

take it fanya na usione aibu
 

"Hata thermometer ina degrees kibao tu lakini inafanya kazi kwapani" wahenga wavaao mlegezo wamepata kunena.

Kiongozi,
Aibu yako ndo umasikini Wako.
We jichanganye tu na vijana wenzako mlisongeshe gurudumu najua itakusononesha Sana mwanzoni lakini utazoea tu na maisha yataendelea wala hakuna haja ya kujinyanyapaa.

Tofauti na shuleni,huku mtaani unaazia mtihani kwanza then ndo unafundishwa hivyo watumie hao vijana kama wakufunzi Wako.

Kumbuka maisha ya kitaani hayanaga Semesters!!Kila la kheri
 
Daaahh hivi nyie watu mliozaliwa vijijini mna matatizo gani? (angalizo sio wote) yani unaona noma kisa eti una degree degree kitu gani nkt watu kibao wanazo aisee eti biashara wanafanya walioishia la saba wewe unaona noma kuzifanya...duuuh kweli kijana mwenzangu una elimu lakini hujaelimika..unashindwa fanya kitu kisa umesoma daahh inasikitisha sana...hivi degree huko vijijini ukiwa nayo wanaamini unaweza tembea angani nini?....
 
Back
Top Bottom