nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
Tuna watoto wawili ktk famlia yetu, binti na wa mwisho ni mvulana. Mvulana ana mwaka mmoja na miezi sita. Sasa kinachonitia aibu ni kwamba huyu mtoto wa kiume tunapombadili nepi hua anashika nyeti zake na kuanza kucheka cheka kitu mbacho huwa naona aibu mbele ya mama mkwe ambae amekuja kututembela hivi karibuni.
Sijui ni kwa nini anafanya hiyvo na mnanishauri nifanyeje wanajamii
Sijui ni kwa nini anafanya hiyvo na mnanishauri nifanyeje wanajamii