Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

gilldenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
2,914
Reaction score
3,021
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
 
Mnunulie bier mbili akirudi azikute mezani, chagua zile lite zisiwe Strong, pia punguza manung'uniko, akirudi akukute na moja khanga sio jeans, jiweke tayari, mmiminie bier huku unamsimanga kidogo, kwamba hupendi anavyokunywa huko nje, mpe mifano ya wanaume walevi wanayokutana nayo huko nje, akimaliza mtunuku mbususu, njia hiyo ikigonga mwamba basi na wewe anza kuzimua light humo ndani mkutane walevi wawili, nakushauri tu kama jirani humu. Ila mambo ya ndoa ni magumu kuliko mathematics. Pole sana
 
Pole sana shida hapo ni pombe ilishamkataa ila kuacha ndio kipengele. Kuna mmoja huku mke alimkimbia sababu ni ulevi na matusi akishalewa, akaomba wasuluhishwe mke arudi nyumbani, wakasuluhishwa vizuri tu baada ya hapo wakajipongeza na vinywaji(kosa kubwa sana), pombe sio chai ilivyokolea tu mke alitukanwa hadharani ikawa work done is equal to zero.
 
Ikumbukwe wanaume hatujaisha mrembo halafu jambo la kufurahisha hamna ndoa 🙂 kadri unavyozidi kubaki naye ndo jinsi utakavyozidi kuathirika kisaikolojia,,so it's better uka-move on asizidi kukuharibu zaidi,,kinga ni bora kuliko tiba
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
 
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.

Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
 
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.

Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
😂😂 hii mbinu nimeikubali sana
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Anazira hadi Anamwaga chakula??

Una uhakika huyo Mumeo atakuwa mwanaume kweli?
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Daaah ndo umeona bora unitangaze Jamiiforums au kuwa naanzishaga ugomvi hauna kichwa wala miguu 😁😁
1677979477126.jpg
 
Back
Top Bottom