Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Tumia hio mbinu ya mochwari fanya mpango akazindukie kwenye barafu Kati Kati ya maiti.

Muwekee dawa za kuacha pombe kwenye chakula au kinywaji.

Akishaacha pombe ni hatua nzuri.

Pili ni ujana tu akifika miaka kuanzia 45 wengi huwa wanabadililka kwa kutokuona faida na uacha ulevi.

Tatu kama wewe ni mtu wa imani njia ya Mungu ni uhakika na ina nguvu, check wabobezi wa mambo ya kiroho watatibu hilo tatizo.
 
Nawatoto wawili, hebu tumpe ushauri mujarabu laasivyo atakujafanywa mdangaji. Kwauchumi huu, utakubali uletewe watoto wawili au mama awaache wanae
hiyo ni mistake tayari before ndoa tayari kafyatua wawili? Kwa sasa apambane tu kuweza kumtoa mumewe kwenye hilo sakata la ulevi,,then atuletee mrejesho.
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Mrejesho upoje mkuuu
 
Vipi kile chakula cha usiku nacho anamwaga akikasirika? Tuanzie hapa kwanza
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Pole sana mdada hakuna anaeweza kukushauri kisa mahusiano yako tungejua chanzo cha makutano yako na yeye labda kama mlikutana bar inamaana nivitu ushavizoea iweje Leo vikuchoshe angali bado unauhitaji nae naomba nikushauri kaanae chini muyamalize vinginevyo mpk apigwe na tukio zito ndipo ataacha pombe mshauriane
 
Hapa huwezi kupata msaada wowote. Sana sana wanasaikolojia wanasema ukizungumza tatizo lako unajisikia nafuu. Ndiyo ulichofanya. Huo ni mzigo wa gunia la misumari. Kimbia haraka sana.
We unashauri ujinga hiyo ndoa kisheria wanawatoto ukumbuke😄
 
Mbona huyo anaunafuu apoleta chakula alafu anakimwaga...😊 sasa ungeolewa na mimi sindio ungefariki....😎 maana minikilewa sileti kabisa chakula na kurudi nyumbani siji...🤨 hadi siku pesa zitakapo isha ndipo unaniona nyumbani...☹️.
Ila pole mkuu, minadhani kosa lilianzia kwako kwa kukubali kuolewa na mlevi, na usije ukadhani kama atabadilika aje na tabia mpya maana hivyo alivyo ndio tabia yake halisi.
Maamuzi ni yako mama, ondoka ukaanze maisha mapya ama vumilia ukisubiri aje abadilike..😊
 
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
 
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.

Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
Dahh
 
Tupo tunakaa kwao mamayake anamjua mwanae na hana cha kumfanya anatukana watu anamwacha tu hawezi mfukuza ndo mwanae na apo ndo kwao me naona nijiengue tu
Ila na wewe ulijchinganya...
Mwanaume mlevi
Mna watoto wawili
Mnakaa kwao
bado unadhalilishwa kila kukucha
Aisee pole sana
 
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.

Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Pole sana
 
Back
Top Bottom