Tumia hio mbinu ya mochwari fanya mpango akazindukie kwenye barafu Kati Kati ya maiti.
Muwekee dawa za kuacha pombe kwenye chakula au kinywaji.
Akishaacha pombe ni hatua nzuri.
Pili ni ujana tu akifika miaka kuanzia 45 wengi huwa wanabadililka kwa kutokuona faida na uacha ulevi.
Tatu kama wewe ni mtu wa imani njia ya Mungu ni uhakika na ina nguvu, check wabobezi wa mambo ya kiroho watatibu hilo tatizo.
Muwekee dawa za kuacha pombe kwenye chakula au kinywaji.
Akishaacha pombe ni hatua nzuri.
Pili ni ujana tu akifika miaka kuanzia 45 wengi huwa wanabadililka kwa kutokuona faida na uacha ulevi.
Tatu kama wewe ni mtu wa imani njia ya Mungu ni uhakika na ina nguvu, check wabobezi wa mambo ya kiroho watatibu hilo tatizo.

hiyo ni mistake tayari before ndoa tayari kafyatua wawili? Kwa sasa apambane tu kuweza kumtoa mumewe kwenye hilo sakata la ulevi,,then atuletee mrejesho.
