Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.

Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye
watu mna mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ana mwaga chakul si anaachaga ela ya chakula
Kama anakunywa pombe lakn anatmiza mahitaj ya nyumbn kuna shida gani

Hapo mimi naona shida ni wew kwakuw Matatizo hayo ni yakawaida ni wew kujitahd kumkabir apunguze pombe

Ikibd akilew mrekod upuuz wake pombe zikish muonyeshe.
 
unatak apewe kes ya kujarbu kumuua mwanaume
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
 
Jaribu kujua ana stress na kitu gan kinamsumbua, ongea nae kwa upole akiwa sober mtu hazengui ilimradi tu lazima kuna kitu kinam trigger. Vaa viatu vyake, addiction ni zimwi la hatari. Unaweza kuta ni mtu poa sanaa.
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Ushamchoka mzee wa watu🤣🤣🤣🤣
Kwani hiyo tabia(ulevi+matusi) ameanza baada ya kukaa wote?
 
Mnunulie bier mbili akirudi azikute mezani, chagua zile lite zisiwe Strong, pia punguza manung'uniko, akirudi akukute na moja khanga sio jeans, jiweke tayari, mmiminie bier huku unamsimanga kidogo, kwamba hupendi anavyokunywa huko nje, mpe mifano ya wanaume walevi wanayokutana nayo huko nje, akimaliza mtunuku mbususu, njia hiyo ikigonga mwamba basi na wewe anza kuzimua light humo ndani mkutane walevi wawili, nakushauri tu kama jirani humu. Ila mambo ya ndoa ni magumu kuliko mathematics. Pole sana
Mdanganye lije limzibue! Hapo hana mme bora ajiondokee tu lisije siku moja likaamua kumwua kabisa!!
 
Unapoambiwa kitu na watu kiweke kwenye tafakari zako pia pale mkiachana watoto utawajengea mazingira gan wew chakufanya tafta sehemu nenda upate pumnziko la akili kwa mda kama kwel anakupenda atakutafta kama akupendi hatokutafta hicho ndo kipimo kidgo ##unae mpenda nae anawake pia
 
Mdanganye lije limzibue! Hapo hana mme bora ajiondokee tu lisije siku moja likaamua kumwua kabisa!!
Simdanganyi. Yeye ndio anajua zaidi na yakizidi atachukua maamuzi wala hata pata muda wa kuja kuomba ushauri huku, mpaka kaja huku maana yake bado ana muda wa kujitafakari na ushauri wangu sio ndio kila kitu, ni mtu mzima huyo dada, haya ni mawazo tu, ukizingatia wote hapa tumesikia malalamiko toka upande mmoja.
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Pole sana mkuu,kama unampenda sana mvumilie tu,pengine atabadilika
 
Mnunulie bier mbili akirudi azikute mezani, chagua zile lite zisiwe Strong, pia punguza manung'uniko, akirudi akukute na moja khanga sio jeans, jiweke tayari, mmiminie bier huku unamsimanga kidogo, kwamba hupendi anavyokunywa huko nje, mpe mifano ya wanaume walevi wanayokutana nayo huko nje, akimaliza mtunuku mbususu, njia hiyo ikigonga mwamba basi na wewe anza kuzimua light humo ndani mkutane walevi wawili, nakushauri tu kama jirani humu. Ila mambo ya ndoa ni magumu kuliko mathematics. Pole sana
Nimeipenda Comment yako mkuu
 
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
 
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo
Unaposema hauna ndoa unamanisha nini? Kuna ndoa ya kidini,kiserikali na kimira kwa hiyo unataka kusema Jamaa hata mahali hajawahi kukutolea?

But kama tayari MNA watoto 2 maana yake huyo umeisha ishi nae under 1 roof zaidi ya miezi 6 hivyo inatambulika ni ndoa halali.
 
Back
Top Bottom