Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.




Ongea na mtu wa mortuary mpange vilivyo mnamuandalia siku unaenda naye bar mumeo hakikisha anakunywa hadi anakata network kisha unambeba unampeleka mortuary mnamlaza kwenye maiti inayotisha, pombe zikimuisha kichwani akiamka ajikute hapo nakuhakikishia hatokunywa tena pombe katika maisha yake yote.
Mhakikishieni kwamba mlimpeleka mortuary baada ya yeye kuzidisha pombe kiasi cha kufariki na kuweni serious katika hilo. Mbinu hii ikifeli huna namna nyingine zaidi ya kunusuru maisha yako kwa kukaa mbali naye

watu mna mbinu



unatak apewe kes ya kujarbu kumuua mwanaume
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.
Kabisa na watoto hawajala kamwaga chakula chote...
Ushamchoka mzee wa watu🤣🤣🤣🤣Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo![]()
Mdanganye lije limzibue! Hapo hana mme bora ajiondokee tu lisije siku moja likaamua kumwua kabisa!!Mnunulie bier mbili akirudi azikute mezani, chagua zile lite zisiwe Strong, pia punguza manung'uniko, akirudi akukute na moja khanga sio jeans, jiweke tayari, mmiminie bier huku unamsimanga kidogo, kwamba hupendi anavyokunywa huko nje, mpe mifano ya wanaume walevi wanayokutana nayo huko nje, akimaliza mtunuku mbususu, njia hiyo ikigonga mwamba basi na wewe anza kuzimua light humo ndani mkutane walevi wawili, nakushauri tu kama jirani humu. Ila mambo ya ndoa ni magumu kuliko mathematics. Pole sana
Bora tuunatak apewe kes ya kujarbu kumuua mwanaume
Simdanganyi. Yeye ndio anajua zaidi na yakizidi atachukua maamuzi wala hata pata muda wa kuja kuomba ushauri huku, mpaka kaja huku maana yake bado ana muda wa kujitafakari na ushauri wangu sio ndio kila kitu, ni mtu mzima huyo dada, haya ni mawazo tu, ukizingatia wote hapa tumesikia malalamiko toka upande mmoja.Mdanganye lije limzibue! Hapo hana mme bora ajiondokee tu lisije siku moja likaamua kumwua kabisa!!
Mkomavu huyu, fanya maamuzi sahihi.Ulevi kaanza tangu anamiaka 9 na matusi juu me nimemkuta nao
Pole sana mkuu,kama unampenda sana mvumilie tu,pengine atabadilikaNaishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo![]()
Nimeipenda Comment yako mkuuMnunulie bier mbili akirudi azikute mezani, chagua zile lite zisiwe Strong, pia punguza manung'uniko, akirudi akukute na moja khanga sio jeans, jiweke tayari, mmiminie bier huku unamsimanga kidogo, kwamba hupendi anavyokunywa huko nje, mpe mifano ya wanaume walevi wanayokutana nayo huko nje, akimaliza mtunuku mbususu, njia hiyo ikigonga mwamba basi na wewe anza kuzimua light humo ndani mkutane walevi wawili, nakushauri tu kama jirani humu. Ila mambo ya ndoa ni magumu kuliko mathematics. Pole sana
Nunua neti zile za kuchomeka chini ya godoro akija kalewa akafanya fujo usimjibu akipanda kitandani make sure unachomeka neti vzuri kabisa.
Andaa watu wawili wavae mashuka meupe na vinyago vya kutisha wamtembezee kichapo akiwa humo humo ndani ya neti Ila tu wasimpige kichwan.
Kesho yake asubui akileta fujo tena njoo nikwambie mbinu nyingine.



Unaposema hauna ndoa unamanisha nini? Kuna ndoa ya kidini,kiserikali na kimira kwa hiyo unataka kusema Jamaa hata mahali hajawahi kukutolea?Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi akikasirika..
Nimevumilia sana ila sasa nimefika mwisho naona niondoke tu maana unyanyasaji na ubaguzi vimezidi tuna watoto wawili hatuna ndoa wenye busara karibuni maana kisaikolojia sipo sawa nimeathirika mnoo![]()