Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
mbona huyo mwanamke angenikoma!?!ananikata jicho asubuhi jioni nahakikisha ananiona ninavyomchangamkia mkewe kwa ucheshi wa hali ya juu....................
cheusi jiamini,macho hayaui mwache akuangalie atakavyo!!!ukiona anakukera akikukata ujicho na wewe mkate!kuonyesha hutetereki na tactic yake hio mbovu ya kukumaliza...............shauri zake na mumewe huko kama mkware atajijuuuuuu,huyo mama sio rafiki yako amani yake ni kutokuona hapo so pambana naye kikike...fanya lilokupeleka mengine pigana nayo kichinichini hivyo hivyo,.....hamna kusarenda kwa wivu wa huyo mama nakwambia!
cheusi jiamini,macho hayaui mwache akuangalie atakavyo!!!ukiona anakukera akikukata ujicho na wewe mkate!kuonyesha hutetereki na tactic yake hio mbovu ya kukumaliza...............shauri zake na mumewe huko kama mkware atajijuuuuuu,huyo mama sio rafiki yako amani yake ni kutokuona hapo so pambana naye kikike...fanya lilokupeleka mengine pigana nayo kichinichini hivyo hivyo,.....hamna kusarenda kwa wivu wa huyo mama nakwambia!