cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Amani ya Mungu iwe juu yenu.
kuna kitu kinaninyima raha kidogo nategemea mawazo yenu yatanifaa.
Ni hivi,
Mim ni member wa social club fulani,mkurugenzi wa hiyo club ndo alinishawishi nijiunge nao.Sikua namfahamu ila siku moja mahala fulani nilidodosha card yangu ya club niliyokua mwanachama zamani,ndo huyo baba akaiokota na kuanza kunambia kuwa yeye ni mkurugenzi wa club yenye activities kama za club ya card yangu hivyo akaniomba nijiunge na club yake sbb alijua kuwa club ye card yangu ilishafungwa.
Kwa vile ni kweli club yangu ya zaman ilifungwa nikaona sio mbaya kutembelea hiyo club nione kama inanifaa,baada ya kuwatembelea mara mbili nikaridhika nao nikajiunga.
Tatizo ni kwamba,mama mkurugenzi ananinyima amani,siku ya kwanza kabisa nilipofika yule mkurugenzi akaniintroduce kwa mke wake,na kumwambia mkewe kuwa mim ni mzoefu wa zile activities na kwamba nikikubali kujiunga nitaongeza nguvu,hasa ukizingatia my former club ilikua ina jina kubwa.
Basi mim yule mama nikawa nampa heshima zake,ila tu nilivyojiunga akawa ananionesha chuki ambazo sielewi zinatokana na nini maana mumewe hajawahi kunitongoza na ninamuheshimu sana tu.
Niko kwenye dilema sababu mama anaonekana hapendi uwepo wangu lkn mumewe/mkurugenzi ananipenda(kikawaida) sbb tokea nimejiunga kuna vitu nimewafundisha ambavyo walikua hawajui.
Mkurugenzi wetu yuko serious sana na watu wengine lkn mim anapenda kuongea na mim,na kunipongeza kwa zawadi kila nikifanya vizuri,na kunisihi nisihame club.
Sasa siku moja huyo mkurugenz aliniambia iwapo mtu yeyote ataniudhi nimweleze bila kuogopa,mkewe hakupendezewa na kauli hiyo,akamfokea mumewe eti asipendelee members sababu eti akiniambia vile napata kiburi na kwamba eti sihitaji kunyenyekewa kama nikitaka kutimua nitimue.Basi wao kwa wao wakazozana kidogo pale.
Sasa mim nishagundua mama hapendi nikiongea na mumewe,lkn sijui nifanyaje maana yule mkurugenzi ni mchangamfu kwangu,siku nisipochangamka ananihoji sana,na pia najisikia vibaya kumjibu dry au mkato mkato mtu anayenichangamkia lkn kama mama yuko karibu natamani niwe bubu sbb jicho analokua analokua ananiangalia nalo lahitaji moyo wapendwa.
Vile vile kuhama hii club kutaniathiri sana sababu baada ya club yangu ya zamani kufungwa imeniwia shida kupata club ya karibu yenye viwango,hii japo ni changa lkn ina viwango na ninaipenda tatizo ni huyo mama tu,maana kuna saa anaweza kuniangalia juu mpaka chini,chini mpaka juu kama macho yanaua huyu mama angeshaniondoa siku nyingi.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kuuteka moyo wa huyu mama maana sitaki kuhama hapa.
Nifanyaje huyu mama atulie maana siku zote pamoja na kunionesha chuki sijaacha kumuheshimu wala kumuonesha dharau,huwa najifanyaga sielewi kuwa hanipendi.
With Love:A S-rose:
kuna kitu kinaninyima raha kidogo nategemea mawazo yenu yatanifaa.
Ni hivi,
Mim ni member wa social club fulani,mkurugenzi wa hiyo club ndo alinishawishi nijiunge nao.Sikua namfahamu ila siku moja mahala fulani nilidodosha card yangu ya club niliyokua mwanachama zamani,ndo huyo baba akaiokota na kuanza kunambia kuwa yeye ni mkurugenzi wa club yenye activities kama za club ya card yangu hivyo akaniomba nijiunge na club yake sbb alijua kuwa club ye card yangu ilishafungwa.
Kwa vile ni kweli club yangu ya zaman ilifungwa nikaona sio mbaya kutembelea hiyo club nione kama inanifaa,baada ya kuwatembelea mara mbili nikaridhika nao nikajiunga.
Tatizo ni kwamba,mama mkurugenzi ananinyima amani,siku ya kwanza kabisa nilipofika yule mkurugenzi akaniintroduce kwa mke wake,na kumwambia mkewe kuwa mim ni mzoefu wa zile activities na kwamba nikikubali kujiunga nitaongeza nguvu,hasa ukizingatia my former club ilikua ina jina kubwa.
Basi mim yule mama nikawa nampa heshima zake,ila tu nilivyojiunga akawa ananionesha chuki ambazo sielewi zinatokana na nini maana mumewe hajawahi kunitongoza na ninamuheshimu sana tu.
Niko kwenye dilema sababu mama anaonekana hapendi uwepo wangu lkn mumewe/mkurugenzi ananipenda(kikawaida) sbb tokea nimejiunga kuna vitu nimewafundisha ambavyo walikua hawajui.
Mkurugenzi wetu yuko serious sana na watu wengine lkn mim anapenda kuongea na mim,na kunipongeza kwa zawadi kila nikifanya vizuri,na kunisihi nisihame club.
Sasa siku moja huyo mkurugenz aliniambia iwapo mtu yeyote ataniudhi nimweleze bila kuogopa,mkewe hakupendezewa na kauli hiyo,akamfokea mumewe eti asipendelee members sababu eti akiniambia vile napata kiburi na kwamba eti sihitaji kunyenyekewa kama nikitaka kutimua nitimue.Basi wao kwa wao wakazozana kidogo pale.
Sasa mim nishagundua mama hapendi nikiongea na mumewe,lkn sijui nifanyaje maana yule mkurugenzi ni mchangamfu kwangu,siku nisipochangamka ananihoji sana,na pia najisikia vibaya kumjibu dry au mkato mkato mtu anayenichangamkia lkn kama mama yuko karibu natamani niwe bubu sbb jicho analokua analokua ananiangalia nalo lahitaji moyo wapendwa.
Vile vile kuhama hii club kutaniathiri sana sababu baada ya club yangu ya zamani kufungwa imeniwia shida kupata club ya karibu yenye viwango,hii japo ni changa lkn ina viwango na ninaipenda tatizo ni huyo mama tu,maana kuna saa anaweza kuniangalia juu mpaka chini,chini mpaka juu kama macho yanaua huyu mama angeshaniondoa siku nyingi.
Naombeni ushauri wa jinsi ya kuuteka moyo wa huyu mama maana sitaki kuhama hapa.
Nifanyaje huyu mama atulie maana siku zote pamoja na kunionesha chuki sijaacha kumuheshimu wala kumuonesha dharau,huwa najifanyaga sielewi kuwa hanipendi.
With Love:A S-rose: