dimple
Senior Member
- Dec 6, 2016
- 100
- 126
Mimi naishi Dar najihusisha na kilimo na ufugaji
Tuna shamba letu kubwa tu Bagamoyo Fukayose lipo ekari 37
Kuna kipindi tuliweka wafanyakazi tukawa tunalilimia mahindi ila kutokana na changamoto za mvua hailifanya vizuri.
Tukashauriana na mr kujenga banda kubwa la kufugia na nyumba ya vyumba viwili na tukazungushia senyenge kama ekari mbili tukaingiza kuku wa chotara 180 wakubwa miez 5 niliwanzia kuwafugia nyumban ila banda likawa dogo ikabidi ndo tuwahamishie shamba kwanza tukasema tuanzie hapo kwa shamba basi Mr alimuweka ndugu yake akawa anaishi hapo anamlipa mshahara tukalima na nanasi ekari 5.
Kuku wale wakaanza kutaga kidogo kidogo ila huyo msimamizi akaanza kuzingua mnooo ktk kipindi chote hicho mr hakuwahi kula hata sh 100 ila kuku wakaendelea kujilisha kupitia mayai kama unavyojua mayai yakawa yanapungua kadri siku zinavozidi kwenda kijana akaanza kuuza kuku mara anasema wamegongwa na nyoka uongo mwingi tu Tukakubaliana na Mr tuwauze kuku walio baki na mradi wa shamba upande wa kuku ukaishia hapo hadi tunauza hao kuku mr hajawai kula hata cent moja watu wanavyofata mayai anakwambia nimenunua chakula cha kuku.
Mimi nikaanza fuga kuku wa mayai nyumbani na mradi unaenda vyema sasa Mr anataka tuupanue huu mradi hadi shamba sabab una hela mimi nina mgomea sabab ku control mayai ukiwa mbali ni shida tutaingia ktk hasara tena na yeye kakubaliana na hili sasa hivi anataka kufuga tena kuloiler kwa nyama yaani miez 3/4 anawatoa kuwauza anasema usimamiz wa kuku wa nyama ni rahisi hata ukiwa mbali sabab kuku akifa ni rahis kumwambia msimamiz akuonyeshe mzoga wake kinachomuuma Mr ni ametumia pesa nyingi kujenga mabanda na kibanda cha msimamizi na wafanyakaz halafu pakae tu hapamuingizii pesa nimekuja kwenu je nimpe go ahead aendelee au nimkatalie sabab Mr hua anafataga ushaur wangu sana je mnaofugia mbali mna control aje mifugo yenu?
Ni sehem ambayo huwez kwenda kila siku na Mr ni muajiliwa hua weekend tu ndo anaweza kwenda.Msimamiz anaweza badirisha
Tuna shamba letu kubwa tu Bagamoyo Fukayose lipo ekari 37
Kuna kipindi tuliweka wafanyakazi tukawa tunalilimia mahindi ila kutokana na changamoto za mvua hailifanya vizuri.
Tukashauriana na mr kujenga banda kubwa la kufugia na nyumba ya vyumba viwili na tukazungushia senyenge kama ekari mbili tukaingiza kuku wa chotara 180 wakubwa miez 5 niliwanzia kuwafugia nyumban ila banda likawa dogo ikabidi ndo tuwahamishie shamba kwanza tukasema tuanzie hapo kwa shamba basi Mr alimuweka ndugu yake akawa anaishi hapo anamlipa mshahara tukalima na nanasi ekari 5.
Kuku wale wakaanza kutaga kidogo kidogo ila huyo msimamizi akaanza kuzingua mnooo ktk kipindi chote hicho mr hakuwahi kula hata sh 100 ila kuku wakaendelea kujilisha kupitia mayai kama unavyojua mayai yakawa yanapungua kadri siku zinavozidi kwenda kijana akaanza kuuza kuku mara anasema wamegongwa na nyoka uongo mwingi tu Tukakubaliana na Mr tuwauze kuku walio baki na mradi wa shamba upande wa kuku ukaishia hapo hadi tunauza hao kuku mr hajawai kula hata cent moja watu wanavyofata mayai anakwambia nimenunua chakula cha kuku.
Mimi nikaanza fuga kuku wa mayai nyumbani na mradi unaenda vyema sasa Mr anataka tuupanue huu mradi hadi shamba sabab una hela mimi nina mgomea sabab ku control mayai ukiwa mbali ni shida tutaingia ktk hasara tena na yeye kakubaliana na hili sasa hivi anataka kufuga tena kuloiler kwa nyama yaani miez 3/4 anawatoa kuwauza anasema usimamiz wa kuku wa nyama ni rahisi hata ukiwa mbali sabab kuku akifa ni rahis kumwambia msimamiz akuonyeshe mzoga wake kinachomuuma Mr ni ametumia pesa nyingi kujenga mabanda na kibanda cha msimamizi na wafanyakaz halafu pakae tu hapamuingizii pesa nimekuja kwenu je nimpe go ahead aendelee au nimkatalie sabab Mr hua anafataga ushaur wangu sana je mnaofugia mbali mna control aje mifugo yenu?
Ni sehem ambayo huwez kwenda kila siku na Mr ni muajiliwa hua weekend tu ndo anaweza kwenda.Msimamiz anaweza badirisha