Gamshard Changamike
Member
- Jun 4, 2017
- 11
- 7
Hasa kwa wale wazoefu na simu za tecno, kuna simu ya tecno spark2 hii simu nimejaribu kuulizia maduka tofauti ya sehemu moja cha ajabu nmepata bei za aina tatu tofauti 230k, 250k, na 290k. nimejaribu kuwaulizia tecno wanadai bei elekezi ni 280k, knacho'click akilini mwangu either moja ni feki or zipo subtypes. hii kwenu inakaaje?