Naombeni ushauri wenu juu ya hili nahisi kuchanganyikiwa

Tatzo langu na kinachoniumiza ananificha mpaka sahivi hataki kuwa mkweli wakati angeniambiaga mapema ningemshaur tutafute Chuo asome coz chet cha fom6 anacho sahv angekuwa mwaka wa 2
Komaeni na kutafuta maisha, kuna wasomi wamejazana hawana kazi za kuajiriwa wanakomaa na kujiajiri
 
Tatizo unafikiria kwenye kuajiriwa tu,kama suala ni cheti,we si unacho kitumie!
Tatizo mama yake ana maisha magumu anamtegemea mwanaye kila siku ananisumbua mwambie mwanangu aombe kazi mama anafunga kila siku anamwombea apate kazi tatzo huyu hawi mkweli asaidiwe na mama yake amemsomesha kwa shida akija kujua huyu mama atadondoka presha
 
Unamatarajio ya kuishi nae maisha ya kindoa huyo au sio!

Kama jambo la kawaida sana kama hilo hamjaweza kuwekana wazi na umeshindwa kumeambia ukweli ni vipi siku akifanya kubwa zaidi?

Ndoa sio maigizo ,ni jambo la kiapo cha milele. Hilo neno milele hebu kaa tulia vizuri litafakari japo kwa dakika tatu au nne tu upate taswira nzima ya tafsiri yake

Mnapofake tangu mwanzo kwenye mahusiano yenu ndivyo hivyo hivyo myakavyoishi ndoani

Jifunzeni kuwekana wazi jambo ambalo litawasaidieni sana ktk kujenga mahusiano imara na yenye afya baina yenu
Kiongozi wangu coment yako hii imeniamsha kitu furani kichwani mwangu ni kweli kabisa nilikua nachukulia kuoa ni kitu cha kawaida tu na nijambo simple like that. Itanibidi niwe makini kabla sijaharibika kabisha
 
Yaan unaacha kulala eti kisa mpenzi ka disco...... Jinga kwel wewe .Nakushauri achana nae huyo fanya mambo yako
 
We unataka cheti au unataka mume!!?, mwache azisake pesa, wanawake kwa nini mnapenda kuajiriwa badala ya kujiajiri?
 
Siyo napenda aende ofisini maisha popote ila bodaboda anafanya hadi saa 7 usiku watu wanauliwa wanaibiwa pikipik alafu kingne ela ya Boda Boda inaishia kwenye matumizi ya kila cku hakuna zinazobaki kwajili ya kufanya maendeleo nilijua ipo cku Mme Wang atapata kazi hz taarifa kwa kwel zmeniumiza sana na mama yake amemsomesha ktk mazngra magumu sana nikimfikiria mama yake anavyomtegemea nataman kulia
Jamani usilie yani umeelezea kwa uchungu sana adi nimekuhurumia aisee! Ila ongeeni tu muyamalize ni swala la muda rafiki...

Ngoja nitoke na humu unaweza kunitoa machozi wewe mtoto
 
Kiongozi wangu coment yako hii imeniamsha kitu furani kichwani mwangu ni kweli kabisa nilikua nachukulia kuoa ni kitu cha kawaida tu na nijambo simple like that. Itanibidi niwe makini kabla sijaharibika kabisha
Ni jambo jema sana kulichukulia kwa umakini na uzito wa hali ya juu mno suala la kuoa kwani ni kiapo na maagano tena ya ki-Mungu baina ya mke na mume, vinginevyo kila kukicha unasikia na kuona divorce! divorce! na ongezeko la matukio ya chuki, visasi, kutokuheshimiana, umasikini, ulevi wa kupindukia, umalaya, watoto wa mitaani, umwagaji damu na kila aina ya machukizo mbele ya Mungu

Mkioana kwa kupatana na "kuapa" kwa dhati ya mioyo yenu ndoa inakuwa na baraka tele na maisha yanakuwa kusaidiana sio haya tunayoyaona siku za leo hii binadamu tumejawa na viburi, chuki, roho mbaya na kila aina ya madhambi

Kwa wapendanao kwa dhati hakuna kudanganyana, wala kuchukiana, wala kunyanyasana pamoja na kwamba kutokuelewana kunakuwepo mara moja moja lakini kunakuwa na hali ya kusameheana na kurekebishana kisha mnasonga mbele. Imagine watu wanaishi ndoani miaka mia hata zaidi!
 
We unataka cheti au unataka mume!!?, mwache azisake pesa, wanawake kwa nini mnapenda kuajiriwa badala ya kujiajiri?
Tatzo anapata ela ya kula na kulipa kodi zimeisha umri umeenda mambo mengine tunafanya lini ya maendeleo sina hata nguvu ya kuendelea kuandika naumia sana
 
Siyo napenda aende ofisini maisha popote ila bodaboda anafanya hadi saa 7 usiku watu wanauliwa wanaibiwa pikipik alafu kingne ela ya Boda Boda inaishia kwenye matumizi ya kila cku hakuna zinazobaki kwajili ya kufanya maendeleo nilijua ipo cku Mme Wang atapata kazi hz taarifa kwa kwel zmeniumiza sana na mama yake amemsomesha ktk mazngra magumu sana nikimfikiria mama yake anavyomtegemea nataman kulia
Umezaa nae??
 
Tatzo anapata ela ya kula na kulipa kodi zimeisha umri umeenda mambo mengine tunafanya lini ya maendeleo sina hata nguvu ya kuendelea kuandika naumia sana
Wewe umefanya nini ili kuakikisha mnatoka apo kwenye kupata hela ya kula na pango hadi huko unakokutaka?, au unazani cheti kinajenga nyumba?
 
Hapo juu nimesema kuwa ni mpenz Wang naishi naye na wazazi wake wananiomba kila siku nimsisitize apply hizi ajira zinazotoka ili amsaidie mdogo wake na kama mpenz wake pia natamani apate kazi achane na kazi ngumu ya bodaboda maana amemaliza toka 2016 ajira zinatoka tu haombi siku zinaenda kuna baadhi ya malengo tunasindwa kuyafikia kutokana na kutokuwa na kazi
Wewe umeajiriwa? kama haujaajiriwa nakushauri amwache mpenzi wako afanye kazi ya boda boda lakini muhimize kuwa na malengo ndani ya miaka kadhaa maisha yenu huenda yakawa bora zaidi kuliko hayo ambayo wewe unayaona kama ataajiriwaaa...wanawake acheni taaamaaaa za maisha ya haraka haraka, ingawa mwanaume pia alipaswa kukuambia ukweli
 
Hapo juu nimesema kuwa ni mpenz Wang naishi naye na wazazi wake wananiomba kila siku nimsisitize apply hizi ajira zinazotoka ili amsaidie mdogo wake na kama mpenz wake pia natamani apate kazi achane na kazi ngumu ya bodaboda maana amemaliza toka 2016 ajira zinatoka tu haombi siku zinaenda kuna baadhi ya malengo tunasindwa kuyafikia kutokana na kutokuwa na kazi
kazi si kuajiriwa pekee, hiyo hiyo boda boda inaweza kumtoa
 
Tatzo langu na kinachoniumiza ananificha mpaka sahivi hataki kuwa mkweli wakati angeniambiaga mapema ningemshaur tutafute Chuo asome coz chet cha fom6 anacho sahv angekuwa mwaka wa 2
Achana na hayo mambo umri unaenda atazeekea darasani then mtakuwa masikini ushawahi kuona maprofessor matajiri
 
Wewe si unampenda??if yes,mwambie ulienda ukweli kuwa ulienda chuo,then baada ya hapo mnaweza mkazungumza,umskie na yeye anasemaje.
 
Yaani kazi za boda boda ni nzuri kuliko hata hiyo unayotaka atafute, ina faida nyingi kuliko hasara.
Anajuana na watu wengi hususan warembo kuliko hata wewe.
"Ukiona mbwa kakomalia kuchungulia shimo ujue kuna harufu ya nzoga."
 
Back
Top Bottom