Naombeni ushauri wenu juu ya hili nahisi kuchanganyikiwa

anazingua huyo mkuu......kudisco sio mwisho wa maisha kama umempenda pambaneni kwani umeambiwa dunia nzima wamefika chuo
Ndio hapo sasa ata mimi nashangaa mkuu yani mdada anaonesha udhaifu wake sana juu ya uhusiano wake na kama mwana akiona huu uzi atakua kishamvua vyeo vya u-wifi material
 
Kutokuwa na kazi au kipato hakikidhi mahitaji? Kama kuwa na kazi ndiyo kukidhi mahitaji basi bado haujakomaa kifikra mkuu ila cha kukushauri kaeni chini mpange namna ya kuongeza kipato chenu na mbuni biashara mbali mbali huku ww ukiendelea kutafuta hiyo ajira serikalini.
Hakuna kitu wanaume tunachukia kama dharau kama unajua kuwa alidisco ni bora ukajifanya haujui huku ukiendelea kumtia moyo wa kujiongeza kibiashara zaidi Maamuzi yako ya sasa ndiyo yatakayo determine future yenu ,mungu awatamgulie .
Asante
 
Utoto tu wala hakuna jingine.

Unajua kuna umri fulani unadream mambo makuuuuuubwa hlf kadiri umri unavyoenda unang'amua kuumbe sio rahisi kiasi hicho

Tunatakiwa kudeal na foundation sio kukimbilia mambo makubwa matokeo yake tunakuwa na mwisho mbayaaaaa
Naona ndio yupo kwenye hiyo stage ya kudream big bila kufikiria ugumu uliopo
 
Ww mbona unauza mitumba nayeye hana tatizo?!
Tatzo langu na kinachoniumiza ananificha mpaka sahivi hataki kuwa mkweli wakati angeniambiaga mapema ningemshaur tutafute Chuo asome coz chet cha fom6 anacho sahv angekuwa mwaka wa 2
 
Naona ndio yupo kwenye hiyo stage ya kudream big bila kufikiria ugumu uliopo
Tatizo letu kubwa hatutaki kufuata process, tunakimbilia tu vuuuuup mara una hiki, una kile, swali ; umekipataje?

Akazanie tu kuuza mitumba au kama vp yy cheti si anacho ,aombe hizo kazi
 
Siyo simtaki tatzo hawi mkweli bado anakataa ni bora akubali asaidike
Dah kweli nibora hata angekwambia ukweli ila kwakuwa umeshaona nn tatizo chakufanya mwambie kama utani vile au mpenz wangu ulidisko nini alafu umsikie atasemaje ila kwanjia kama yautani
 
Aaah! Jamani kumbe unapenda jamaa awe anaenda ofisini?
Siyo napenda aende ofisini maisha popote ila bodaboda anafanya hadi saa 7 usiku watu wanauliwa wanaibiwa pikipik alafu kingne ela ya Boda Boda inaishia kwenye matumizi ya kila cku hakuna zinazobaki kwajili ya kufanya maendeleo nilijua ipo cku Mme Wang atapata kazi hz taarifa kwa kwel zmeniumiza sana na mama yake amemsomesha ktk mazngra magumu sana nikimfikiria mama yake anavyomtegemea nataman kulia
 
Habari zenu wapendwa? Nina mpenzi wangu ambaye ameshanitambulisha hadi kwao ninaishi naye chumba kimoja kwa sasa yeye anaendesha bodaboda Mimi nafanya biashara ya nguo huku tunasubiria ajira tulimaliza Chuo 2016, huyu mwanaume nimekuwa nikimshauri aombe kazi akaniambia hana cheti anadaiwa bado chuoni mwaka huu wazazi wake walimtumia laki tano kwajili ya kulipa hilo deni achukue cheti lakini aliitumia kwa mambo yake yani kwa kigupi hayuko serious juu ya kuchukua cheti na wazazi wake kila siku wanamwambia umeshachukua chet anawadanganya kachukua, wiki hii nilichezwa na machale kuwa atakuwa alidisko nikaenda kufatilia udom ofisini nikakuta kweli alidisco mwaka wa 3 semista ya kwanza ila bado cjamwambia jana nmemgusia tu nikamwambia mbona Chuo hairusiwi kufanya mtihani bila kulipa ada ww ulifanyaje akanijibu kwa hasira labda chuoni kwenu, hapa nafikiria nitaanzaje je niwambie ndugu zake au nifanyaje niko njia panda Jana cjalala na mawazo ndugu zangu naombeni ushauri wenu
ACHA KUJIBEBEBSHA MIZIGO ISIYOKUHUSU!
UNAHANGAIKA NA CHETI CHAKE WAKATI HUJIONI KUWA ANAKUPOTEZEA MAISHA YAKO?
 
Tatzo langu na kinachoniumiza ananificha mpaka sahivi hataki kuwa mkweli wakati angeniambiaga mapema ningemshaur tutafute Chuo asome coz chet cha fom6 anacho sahv angekuwa mwaka wa 2
Dah aisee inaonekana unampenda sana huyo mtu!! Endelea hivo hivo usiwe kama hawa magumegume wa jf
 
Shukuru hajakupatia mimba maana hapo ingekuwa jambo lingine, cha msingi kama hujarithika na elimu na maisha yake, chukua hamsini zako songa mbele tunawweza kukutana na kuanza kuyajenga
 
Tatzo langu na kinachoniumiza ananificha mpaka sahivi hataki kuwa mkweli wakati angeniambiaga mapema ningemshaur tutafute Chuo asome coz chet cha fom6 anacho sahv angekuwa mwaka wa 2

Ww unamlazimisha mtu kusoma?!


Kama hutaki mtu asiyekuwa na degree si umuache
 
Back
Top Bottom