BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,234
- 6,376
HahahaKwahiyo wewe umtaki mwanaume aliyedisko
HahahaKwahiyo wewe umtaki mwanaume aliyedisko
Nikweli mkuu..Ndo maana mie na mwanamke asie bright ni maadui hata awe na PHD kabati zima.
Mtu anaandika cjalala halafu msomi.
Usomi na mapenzi vitu viwili yaani usilale kisa mwenzio kadisco?
Badala uangalie kama ela analeta unaanza leta poyoyo.
Hawa ndo wanawake wanaompendea mtu kisa status,elimu pesa.yaani anamalengo nae na sio upendo nae.
Anajiita tembo card.Kama bado hamna family jikatae mapemaa,
Usije kuja hapa tena useme hatujakuambia,