Yaani we binti unaona jamaa yako hawezi kusaidika wanaume tunaakili sanaa tena kama ni utafutaji tuko vizuri yaani nakuambia omba ajira yako ukipata jamaa yako afanye kazi ya boda boda baada ya miaka mitano muangaliane muone nani zaidiSiyo simtaki tatzo hawi mkweli bado anakataa ni bora akubali asaidike
Sitaki kugusia hayo mengine ila dada kuendesha bodaboda nayo ni kazi na njia halali ya kipatoHapo juu nimesema kuwa ni mpenz Wang naishi naye na wazazi wake wananiomba kila siku nimsisitize apply hizi ajira zinazotoka ili amsaidie mdogo wake na kama mpenz wakee pia natamani apate kazi achane na kazi ngumu ya bodaboda maana amemaliza toka 2016 ajira zinatoka tu haombi siku zinaenda kuna baadhi ya malengo tunasindwa kuyafikia kutokana na kutokuwa na kazi
Acha kumharibu mwenzakoACHA KUJIBEBEBSHA MIZIGO ISIYOKUHUSU!
UNAHANGAIKA NA CHETI CHAKE WAKATI HUJIONI KUWA ANAKUPOTEZEA MAISHA YAKO?
Nakuambia wewe binti kuna wenzenu wameajiriwa na hela yao inaishia kulipa kodi, kula na nauli tena umri umeenda nyinyi bado vijana mbona unaongea mambo ya ajabu mmemaliza chuo 2016 maana yake mmeanza maisha 2017 mwaka mmoja ulitarajia kufanya mambo gani haraka hivi? Dah! aisee kuwena na subira basi nyie mabinti ndio maana mnateseka sana na wenye maisha mazuri hasa wenye pesaTatzo anapata ela ya kula na kulipa kodi zimeisha umri umeenda mambo mengine tunafanya lini ya maendeleo sina hata nguvu ya kuendelea kuandika naumia sana
AiseeeeCheti sichake kwanini wewe unatumia nguvu kubwa kukihitaji?
sio kwa swali hiloWw mbona unauza mitumba nayeye hana tatizo?!
Nashkuru kaka kwa kulipa uzito hili jamboNaona watu wengi mnamnanga dada wa watu kwamba anaangalia elimu ya jamaa, sijui mara oohhh elimu siyo kitu. anyway, the fact ni kwamba huyo jamaa kwanini kuna vitu anaficha? Hilo ni tatizo tena ni kubwa mno japo naona wengi mnalichukulia simple tu.
Mpo kwenye kwenye mahusiano, mnaishi wote, Je ni kwanini jamaa ashindwe kuwa muwazi?
Kwani bodaboda siyo kaziHapo juu nimesema kuwa ni mpenz Wang naishi naye na wazazi wake wananiomba kila siku nimsisitize apply hizi ajira zinazotoka ili amsaidie mdogo wake na kama mpenz wake pia natamani apate kazi achane na kazi ngumu ya bodaboda maana amemaliza toka 2016 ajira zinatoka tu haombi siku zinaenda kuna baadhi ya malengo tunasindwa kuyafikia kutokana na kutokuwa na kazi
Maamake scola umeamua ouja kunisemepea huku Jf, SASA kwa taarifa yako hata hii pikipiki sio yang, Ni ya mshikaji Wang, Ila sio powa scola mke Wang,
Alafu uwe mwangalifu wengine watakushauri upupu mwisho wa ck tuachane,
Kudidco sio tatizo,
Kuhusu kukudanganya nakikir nilifanya hivo ila si kwa nia mbaya, Bali nilifanya kwa ajili ya kulinda penzi letu,
Ndo maana mie na mwanamke asie bright ni maadui hata awe na PHD kabati zima.Cheti sichake kwanini wewe unatumia nguvu kubwa kukihitaji?