Naombeni ushauri wa kunijenga

Naombeni ushauri wa kunijenga

Humu kuna watu wastaarabu na wenye akili zao timamu lakini humu pia kuna matapeli wa kutupwa, be careful mamiii
 
Kwani we Tekla hilo sio jina lako mpaka ulalamike,sie wenzako majina yetu ndo hayo hayo..
 
ushauri wa kukujenga ni kuacha kutoa namba yako hovyo hasa kwa mtu usiye na mpango naye, hope ushauri wangu utakujenga na kuwa ghorofa moja lol
 
Unataka ushauri wa kukujenga ili nini??? Uwe mrefu kama PPF Tower au!!!
ulibug meeen kutoa namba ya simu...

hahhahahhahahhaahhahhahahhahahahah !af nimekumiss ujue hebu niPM nikupe namba mie ah!chezeya urefu ka PPF TOWER!kwa hili walahi nakupa na jina kabisaaaaa!loh!
 
Unalalamika kujulikana jina lako halisi? Ngoja utumiwe afu uachwe mataa ndo utajua maharagwe ni mboga ya serikali
 
hahhahahhahahhaahhahhahahhahahahah !af nimekumiss ujue hebu niPM nikupe namba mie ah!chezeya urefu ka PPF TOWER!kwa hili walahi nakupa na jina kabisaaaaa!loh!

Habari yako mtani....sasa namba katoa ye mwenyewe kusutwa twasutwa siye....makubwa!!
 
Hii ndoo jamii forum banaa! Hakuishi vitukoo!

Sent from my BlackBerry 9360 using Jamie's
 
Asanteni wana jf kwa ushauri nimewasoma wote na nimekua very makini. Nawatakieni heri ya x mass na mwaka mpya.
 
Back
Top Bottom