Unaweza kuwa nazo hizo na ukakosa vizur. Ukishindwa kupangilia machaguo yako tatizo huanzia hapo. Angeliingiza kcmc au bugando fani ya Lab au Pharmacy asingelikosa moja wapo. Yeye ana 1 ya 9 kuna watu wana 1 nene nene wote wanakimbilia Muhas, Udom na Udsm
sidhani, ukifanya casaual survey z PCB across schools, wenye Div 1 ya points 3,4,5,6,7 ni wachache mno. Nenda shule zile 10 bora angalia PCB ni wangapi wako kwenye category hiyo (3,4,5,6,7)................... casual survey anyway
sidhani, ukifanya casaual survey z PCB across schools, wenye Div 1 ya points 3,4,5,6,7 ni wachache mno. Nenda shule zile 10 bora angalia PCB ni wangapi wako kwenye category hiyo (3,4,5,6,7)................... casual survey anyway
Inawezekana kwa MD kuwa na ONE ya 3,4,5,6, watu 200 admission capacity ya MUHAS wa 7 wakakosa, LAKINI SI KOZI ZOTE HIZO , pharmacy, optometry, physiotherapy, Lab sciences kakosa na one ya pt 7! au wasemaje?
Kuliko kuomba education na programmes zifananazo au kusubiri mwakani ni bora uombe diploma ya geomatics, hutojuta mdogo wangu.
Sio lazima ushikilie afya afya afya...
Kuliko kuomba education na programmes zifananazo au kusubiri mwakani ni bora uombe diploma ya geomatics, hutojuta mdogo wangu. Sio lazima ushikilie afya afya afya...
sidhani, ukifanya casaual survey z PCB across schools, wenye Div 1 ya points 3,4,5,6,7 ni wachache mno. Nenda shule zile 10 bora angalia PCB ni wangapi wako kwenye category hiyo (3,4,5,6,7)................... casual survey anyway