Jamani naombeni ushauri
Kuna jamaa mmoja aliniuzia kiwanja mwaka jana mwezi wa kumi
Wakati tunauziana sikuwa na hela yote hivyo nilimlipa niliyokuwa nayo Tshilingi milioni moja jumla ilikuwa nimpe milioni moja na laki nane hivyo ikawa imebaki laki nane kumalizia tukakubaliana nimalizie baada ya mwezi mmoja lakini sikufanikiwa baadae nikaanza kuuguza nikaongea naye akasema basi ukipata utanipa aliondoka mwezi wa kumi na mbili simu ikawa haipatikani na Mimi nimeuguza mpaka mwezi wa pili kuelekea wa tatu
Sasa jana ndio nimeonana naye nikamwambia jamaa vipi akaniambia safi nikamwambia kuna mazao nataka niuze mwezi huu mwishoni nimalizie ile hela akasema iache maana kiwanja nilishauza kwa sababu niliona unanichelewesha kumaliza shida yangu nikamuuliza kwa hiyo hela niliyokuwa nimeilipia tunafanyaje kama umeuza ? Akasema nisubiri mwezi huu uishe kisha tuonane
Naomba ushauri wenu kama kuna anayejua sheria juu ya hilo kwamba inatakiwa iwaje anisaidie jamani
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa mmoja aliniuzia kiwanja mwaka jana mwezi wa kumi
Wakati tunauziana sikuwa na hela yote hivyo nilimlipa niliyokuwa nayo Tshilingi milioni moja jumla ilikuwa nimpe milioni moja na laki nane hivyo ikawa imebaki laki nane kumalizia tukakubaliana nimalizie baada ya mwezi mmoja lakini sikufanikiwa baadae nikaanza kuuguza nikaongea naye akasema basi ukipata utanipa aliondoka mwezi wa kumi na mbili simu ikawa haipatikani na Mimi nimeuguza mpaka mwezi wa pili kuelekea wa tatu
Sasa jana ndio nimeonana naye nikamwambia jamaa vipi akaniambia safi nikamwambia kuna mazao nataka niuze mwezi huu mwishoni nimalizie ile hela akasema iache maana kiwanja nilishauza kwa sababu niliona unanichelewesha kumaliza shida yangu nikamuuliza kwa hiyo hela niliyokuwa nimeilipia tunafanyaje kama umeuza ? Akasema nisubiri mwezi huu uishe kisha tuonane
Naomba ushauri wenu kama kuna anayejua sheria juu ya hilo kwamba inatakiwa iwaje anisaidie jamani
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app