Pagejawapagija
Senior Member
- Jan 13, 2021
- 137
- 135
Ukweli huwa mzuri sana bora urafiki ufe...! Kuna kisa pale Kwenye Qoran Nabii Ibrahim Alipokuja KumtKabisa ni kuchuna tu,atakuja kujua mwenyewe ,
Nilimfumania mke wa bro live kabisa anapapaswa na njemba buguruni huko.
Nimeshuka kituoni pale sokoni kuna bar na lodge pembeni.
Nikaona ngoja nikapige supu humo,
Hamad shemu huyu hapa tena anapapaswa kabisa kakumbatiwa anachekacheka tu.
Aliponiona alishtuka sana,kama aje anisalimie,
Nilipita nikatokea mlango mwingine huyo nikatimka.
Nilishika cm km mara 3 nimpigie bro
Badae nikaona achana nao hao wameoana na wana mtoto mdogo.
Sikuwai kumwambia bro mpk anakufa.
Maana nae namjua,angembatua mtu leo yuko jela.
embelea Mwanae Ismail Akamkuta mkewe akamuuliza vipi maisha Ya hapa,amke kaanza kuongea siri za Ndani,Ibrahim akamuambia Yule Mwanamke akija mumeo Mwambie Kizingiti Hiki Hakifai...Kweli Alipokuja Ismail akaambiwa hivyo na mkewe AKAMWACHILIA MBALI...!
Sema ni mafungamano tu baadhi ya Imaan Kuweka Ugumu Ila Nikweli Mwanamke Akiwa na Tabia Chafu Achana nae tafuta Mwingine...!
MWAMBIE UKWELI NDUGU YAKO ILI UWEZE KUMNUSURU HAPO HAPAANGALII WATOTO,UMRI WA NDOA MAPENZI...!
Mke mzinifu nisimwambie rafiki yangu kwasababu gani?
Mimi niliwahi kumuona mtu kaja kutukana mtaani kisa mwanamke aliyemposa ana ukimwi hawakumuambia