Naombeni ushauri nichague kozi ipi kati ya hizi?

Habari humu.

Nipo njia panda , nahitaji Mawazo yenu kufanya maamuzi ya mwisho.

Ipo hivi nimechaguliwa UDSM ( BA in Psychology) na Tudarco ( LLB).

Kila MTU ana ndoto zake lakini pia siku hizi suala la kusoma ni maslahi.

Napenda sana sheria, preferably ningewish kusoma (UDSM & Mzumbe)

Bahati mbaya UDSM nimepata( BA in psychology) na Laws - Tudarco.

Je, una la kunishauri?

Karibuni sana ndugu.
Kasome sheria Tudarco kwa kuwa ni kozi unayoipenda kuliko unavyopenda psychology. Hii itakuepysha na majuto mbeleni.

Baadaye ytakuja kujiliwaza kwa kusoma Masters kwenye chuo unachokipenda ( Mzumbe/UDSM ).

Kumbuka,

Ukisoma kozi usiyoipenda utapata majuto ya maisha kwa kuwa naamini upendo wa kitaaluma ni bora kuliko chuo.

Mwisho wa siku, mwanasheria mzuri ni haijalishi umesoma wapi, ni juhudi tu, maarifa, utundu, kujisomea na nguvu ya hoja.
 
Inawezekana mkuu.. ikiwa ana vigezo.

UDSM siku hizi kuhama kozi ni Simple.

Kama ana 'A' zake mbili kwenye Combination... chap process haipiti siku mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Ma "A'" sipo mkuu.

Hata kwenye reason ya kutochaguliwa laws as my first priority wameniandikia " Below cut off points"

Huoni ni changamoto mkuu?
 
Hapo kwenye Ma "A'" sipo mkuu.

Hata kwenye reason ya kutochaguliwa laws as my first priority wameniandikia " Below cut off points"

Huoni ni changamoto mkuu?
Basi sahau Law UDSM njoo ukimbizane na wenzio Yombo.

Komaa na Saikolojia.

Mambo ya fursa ni mindset tu.

Hakuna popote unaweza kuwa Guaranteed fursa kisa kozi unayochagua kuisoma.

Kaza msuli kwenye kozi ambayo una mapenzi nayo ili upate GPA nzuri... mengine yatajiseti tu mbele.

Karibu CoHu UDSM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasome sheria Tudarco kwa kuwa ni kozi unayoipenda kuliko unavyopenda psychology. Hii itakuepysha na majuto mbeleni.

Baadaye ytakuja kujiliwaza kwa kusoma Masters kwenye chuo unachokipenda ( Mzumbe/UDSM ).

Kumbuka,

Ukisoma kozi usiyoipenda utapata majuto ya maisha kwa kuwa naamini upendo wa kitaaluma ni bora kuliko chuo.

Mwisho wa siku, mwanasheria mzuri ni haijalishi umesoma wapi, ni juhudi tu, maarifa, utundu, kujisomea na nguvu ya hoja.
Asante sana MoseKing

Nikuelewa hapo mwishoni.

Mwanasheria mzuri ni mwenye utundu ( sio lissu), hoja na kupangua kesi na sio jina la CHUO.

Kweli kusoma kozi ambayo ni alternative to your first priority ina hitaji Moyo.

Nitalifanyia kazi.
 
Basi sahau Law UDSM njoo ukimbizane na wenzio Yombo.

Komaa na Saikolojia.

Mambo ya fursa ni mindset tu.

Hakuna popote unaweza kuwa Guaranteed fursa kisa kozi unayochagua kuisoma.

Kaza msuli kwenye kozi ambayo una mapenzi nayo ili upate GPA nzuri... mengine yatajiseti tu mbele.

Karibu CoHu UDSM

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu wangu @mtotomdogosana

Duuh!

Labda unielewshe hapa

Psychology naipenda kama ( knowledge subject)

Laws naipenda kama ( practice career )

To put it more precise I've always yearning to practise laws at the same time I've always longing to know human psychology

There is where confusion comes.

Karibu!
 
Dgo nenda law achana na hizo saikolojia ujinga mtupu Kuna dgo fulani alisoma hapo law tumaini alipoenda law school akawa best student wa ile batch kawapita wote waliotoka udsm na mzumbe na Sasa yupo ofisi ya mashtaka mkoani mtwara
 
Ahsante sana mkuu wangu @mtotomdogosana

Duuh!

Labda unielewshe hapa

Psychology naipenda kama ( knowledge subject)

Laws naipenda kama ( practice career )

To put it more precise I've always yearning to practise laws at the same time I've always longing to know human psychology

There is where confusion comes.

Karibu!
Acha mbwembwe mdogo wangu... Wengi tuliotoka Advance na masomo yetu ya sanaa tulikuja na akili hiyo hiyo... tuliaminishana na wenzetu huko mabwenini usiku baada ya prepo kwamba lazima tusome sheria.

Ila amini usiamini sura ya ulimwengu huku chuoni ni tofauti na bashiri ulizokuwa nazo nyakati zote.

Psychology ni nzuri sana... hasa kwa Hapa UDSM naamini kama utakuja na nia ya kufanya vema basi unayo nafasi ya kujitengenezea upenyo wa kuwa myu muhimu.

Nguvu ya mafanikio kwenye kozi yoyote ya chuo kikuu iko kwenye juhudi binafsi itakayokutengenezea utofauti na uthamani.

Karibia UDSM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dgo nenda law achana na hizo saikolojia ujinga mtupu Kuna dgo fulani alisoma hapo law tumaini alipoenda law school akawa best student wa ile batch kawapita wote waliotoka udsm na mzumbe na Sasa yupo ofisi ya mashtaka mkoani mtwara
Mshauri ukizingatia hali halisi.
Usimuaminishe kupitia bahati ya rafiki yako aliyepata nafasi Ofisi ya mashtaka.

Mimi binafsi nina mshkaj wangu amemaliza SOL mwaka jana nnahangaika nae kitaa kutafuta michongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dgo nenda law achana na hizo saikolojia ujinga mtupu Kuna dgo fulani alisoma hapo law tumaini alipoenda law school akawa best student wa ile batch kawapita wote waliotoka udsm na mzumbe na Sasa yupo ofisi ya mashtaka mkoani mtwara
Asante sana mkuu billdrago

Hakika umenipa Hamasa na Moyo kusoma Sheria.

Kupitia hiyo nitafanya mabadiliko kwa nchi kuliko psychology ningefanya kwa MTU mmoja mmoja.
 
Acha mbwembwe mdogo wangu... Wengi tuliotoka Advance na masomo yetu ya sanaa tulikuja na akili hiyo hiyo... tuliaminishana na wenzetu huko mabwenini usiku baada ya prepo kwamba lazima tusome sheria.

Ila amini usiamini sura ya ulimwengu huku chuoni ni tofauti na bashiri ulizokuwa nazo nyakati zote.

Psychology ni nzuri sana... hasa kwa Hapa UDSM naamini kama utakuja na nia ya kufanya vema basi unayo nafasi ya kujitengenezea upenyo wa kuwa myu muhimu.

Nguvu ya mafanikio kwenye kozi yoyote ya chuo kikuu iko kwenye juhudi binafsi itakayokutengenezea utofauti na uthamani.

Karibia UDSM

Sent using Jamii Forums mobile app
Psychology vs Laws ( ukiweka mbali passion ya mtu) ipi ina uwanja mpana na maslahi makubwa mkuu?
 
Hapo kwenye Ma "A'" sipo mkuu.

Hata kwenye reason ya kutochaguliwa laws as my first priority wameniandikia " Below cut off points"

Huoni ni changamoto mkuu?
Nenda Tumaini udsm Kuna complications nyingi mwisho uje upate GPA chafu uje ushindwe kuendelea na masters, my classmates wangu walipata three wakaenda SAuti kusoma Sheria sasa hivi ni ma advocates wazuri tu
 
Nenda Tumaini udsm Kuna complications nyingi mwisho uje upate GPA chafu uje ushindwe kuendelea na masters, my classmates wangu walipata three wakaenda SAuti kusoma Sheria sasa hivi ni ma advocates wazuri tu
Kuna mtu alinijuza hapo kitivo kuna vitimbwi vingi na disco ni nyingi kwa Sheria.
 
Back
Top Bottom