Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,716
- 5,339
Ah 😂😂
Alafu watu wanasema Mapenzi hayawezi kufanya mtu achanganyikiwe
Alafu watu wanasema Mapenzi hayawezi kufanya mtu achanganyikiwe
anajuzimaga data uyu mwehu mara aseme sku hz matako yake yamekua makubwa yaan varangatj tu 😂😂 hajawahi kuwa seriousHapan sijawahi kufuatilia kumbe ndio kawaid yake?
Bc ni wa kupuuzwa tuanajuzimaga data uyu mwehu mara aseme sku hz matako yake yamekua makubwa yaan varangatj tu 😂😂 hajawahi kuwa serious
kabsa mkuu si umeona hareply anaanzisha vagi afu anawaachia msala mbishane mwenyewe 😂😂Bc ni wa kupuuzwa tu
Ni nini hiki ulichokiandika?Jambo ndugu zangu
Naomba ushauri wa mawazo kutoka kwenu
Mwezi wa kwanza mwaka kesho nilichukuwa mke
Lakini baada ya miaka Kazaa Kupita
Yule mwanamke nilianza kuona tabia zake baba yake na mjomba wakashauri familia juu mke wake na mama
Sasa ilo jambo linanitatiza
Sijui nyinyi mnanishauri nini
😂 na hii ndio imebeba uhalisiaKweli hii na habari na hoja mchanganyiko...
Huyu kweli kauzu maana nimerudi nikajua amefanya editing kumbe amedondosha kitu alafu anawa-zoom tu watukabsa mkuu si umeona hareply anaanzisha vagi afu anawaachia msala mbishane mwenyewe 😂😂
😂😂 anazngua huyuHuyu kweli kauzu maana nimerudi nikajua amefanya editing kumbe amedondosha kitu alafu anawa-zoom tu watu