MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 877
- 1,781
Ndugu zangu hapa nilipo sielewi napitia kipindi kigumu sana.
Ipo hivi...
Mimi ni mtu niliye sensitive sana mtu anapoonewa au kuona mtu anadhurumiwa haki yake hii kitu inaniumizaga sana.
Najikuta nakuwa off mood sana na ninadhoofika kila siku kiakili, kihisia na ki mwili pia.
KIfupi mpka hapa nishaumizwa na hii hali kwa nyakati nyingi tofauti tofauti na ishatokea kutoa machozi mara nyingi sana.
Mara ya mwisho kutoa machozi ni leo baada ya kuona picha ya nyumbani na damu kwa huyu kada wa CHADEMA Nyagali. Mimi siyo mwana harakati wala siyo mwana siasa lakini hii hali inanitesa sana, siyo kwa mdude tu hata kwa watu wengine hii hali inanitesa sana sana sana.
Hii hali inaninyima hamu ya kufanya kazi na hamuwez amini leo nimeshindwa kutimia majukumu yangu kikamilifu.
Nawaza huyu kijana kadhurumiwa haki yake ya kuishi na ni hasara kwa familia yake na ukifikiria kwa undani zaidi hiki kitu kimefanywa ili kulinda maslahinya watu wachache na siyo Taifa.
NImalizie Kwa kusema sisi sote ni wa mavumbini tutarudi wakati ukifika, mdude kauwawa lakini waliomuuwa nao watazikwa nao na watakufa wakiwa na maumivu makubwa yanayotokana na guilty na kujutia kwa wanayoyafanya muda huu.
Aminini nawaambia wanayoyafanya haya hawafanyi kwa maslahi ya Taifa bali ni kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache na watajutia kwa haya wayafanyayo.
Ipo hivi...
Mimi ni mtu niliye sensitive sana mtu anapoonewa au kuona mtu anadhurumiwa haki yake hii kitu inaniumizaga sana.
Najikuta nakuwa off mood sana na ninadhoofika kila siku kiakili, kihisia na ki mwili pia.
KIfupi mpka hapa nishaumizwa na hii hali kwa nyakati nyingi tofauti tofauti na ishatokea kutoa machozi mara nyingi sana.
Mara ya mwisho kutoa machozi ni leo baada ya kuona picha ya nyumbani na damu kwa huyu kada wa CHADEMA Nyagali. Mimi siyo mwana harakati wala siyo mwana siasa lakini hii hali inanitesa sana, siyo kwa mdude tu hata kwa watu wengine hii hali inanitesa sana sana sana.
Hii hali inaninyima hamu ya kufanya kazi na hamuwez amini leo nimeshindwa kutimia majukumu yangu kikamilifu.
Nawaza huyu kijana kadhurumiwa haki yake ya kuishi na ni hasara kwa familia yake na ukifikiria kwa undani zaidi hiki kitu kimefanywa ili kulinda maslahinya watu wachache na siyo Taifa.
NImalizie Kwa kusema sisi sote ni wa mavumbini tutarudi wakati ukifika, mdude kauwawa lakini waliomuuwa nao watazikwa nao na watakufa wakiwa na maumivu makubwa yanayotokana na guilty na kujutia kwa wanayoyafanya muda huu.
Aminini nawaambia wanayoyafanya haya hawafanyi kwa maslahi ya Taifa bali ni kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache na watajutia kwa haya wayafanyayo.