MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 877
- 1,781
- Thread starter
- #21
Asante MkuuHeri wanaolia sasa maana watapata faraja baadae, ole wao wanaocheka sasa.
Asema Bwana wa Majeshi
Asante MkuuHeri wanaolia sasa maana watapata faraja baadae, ole wao wanaocheka sasa.
Asema Bwana wa Majeshi
Wewe ni mtu mwema na mpenda haki. Usikate tamaa, endelea kumuomba Mungu. ipo siku atatuliza haja ya moyo wako.Ndugu zangu hapa nilipo sielewi napitia kipindi kigumu sana.
Ipo hivi...
Mimi ni mtu niliye sensitive sana mtu anapoonewa au kuona mtu anadhurumiwa haki yake hii kitu inaniumizaga sana.
Najikuta nakuwa off mood sana na ninadhoofika kila siku kiakili, kihisia na ki mwili pia.
KIfupi mpka hapa nishaumizwa na hii hali kwa nyakati nyingi tofauti tofauti na ishatokea kutoa machozi mara nyingi sana.
Mara ya mwisho kutoa machozi ni leo baada ya kuona picha ya nyumbani na damu kwa huyu kada wa CHADEMA Nyagali. Mimi siyo mwana harakati wala siyo mwana siasa lakini hii hali inanitesa sana, siyo kwa mdude tu hata kwa watu wengine hii hali inanitesa sana sana sana.
Hii hali inaninyima hamu ya kufanya kazi na hamuwez amini leo nimeshindwa kutimia majukumu yangu kikamilifu.
Nawaza huyu kijana kadhurumiwa haki yake ya kuishi na ni hasara kwa familia yake na ukifikiria kwa undani zaidi hiki kitu kimefanywa ili kulinda maslahinya watu wachache na siyo Taifa.
NImalizie Kwa kusema sisi sote ni wa mavumbini tutarudi wakati ukifika, mdude kauwawa lakini waliomuuwa nao watazikwa nao na watakufa wakiwa na maumivu makubwa yanayotokana na guilty na kujutia kwa wanayoyafanya muda huu.
Aminini nawaambia wanayoyafanya haya hawafanyi kwa maslahi ya Taifa bali ni kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache na watajutia kwa haya wayafanyayo.
Hakika naomba kila siku na siku Mungu akijibu maombi yangu nahisi Taifa litakuwa kwenye furaha sanaWewe ni mtu mwema na mpenda haki. Usikate tamaa, endelea kumuomba Mungu. ipo siku atatuliza haja ya moyo wako.
ameshauawa ?Cha kufikirisha na cha ajabu ni kuwa mdanganyika anamuua mwenzie kwa kutumwa na mzanzibar hii ni kali
Jufunze kwangu.Ndugu zangu hapa nilipo sielewi napitia kipindi kigumu sana.
Ipo hivi...
Mimi ni mtu niliye sensitive sana mtu anapoonewa au kuona mtu anadhurumiwa haki yake hii kitu inaniumizaga sana.
Najikuta nakuwa off mood sana na ninadhoofika kila siku kiakili, kihisia na ki mwili pia.
KIfupi mpka hapa nishaumizwa na hii hali kwa nyakati nyingi tofauti tofauti na ishatokea kutoa machozi mara nyingi sana.
Mara ya mwisho kutoa machozi ni leo baada ya kuona picha ya nyumbani na damu kwa huyu kada wa CHADEMA Nyagali. Mimi siyo mwana harakati wala siyo mwana siasa lakini hii hali inanitesa sana, siyo kwa mdude tu hata kwa watu wengine hii hali inanitesa sana sana sana.
Hii hali inaninyima hamu ya kufanya kazi na hamuwez amini leo nimeshindwa kutimia majukumu yangu kikamilifu.
Nawaza huyu kijana kadhurumiwa haki yake ya kuishi na ni hasara kwa familia yake na ukifikiria kwa undani zaidi hiki kitu kimefanywa ili kulinda maslahinya watu wachache na siyo Taifa.
NImalizie Kwa kusema sisi sote ni wa mavumbini tutarudi wakati ukifika, mdude kauwawa lakini waliomuuwa nao watazikwa nao na watakufa wakiwa na maumivu makubwa yanayotokana na guilty na kujutia kwa wanayoyafanya muda huu.
Aminini nawaambia wanayoyafanya haya hawafanyi kwa maslahi ya Taifa bali ni kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache na watajutia kwa haya wayafanyayo.
Ni kweliJufunze kwangu.
Mauaji ya Gaza yalipoanza mwaka jana niliumua sanaa, ila nikawaza Gaza are 2mil, je wanaweza UA wote? Nikasema hapana, so far 60k plus washakufa, naamini after years Hamas zitazaliwa zingine nyingi. Na kisasi kitalipwa tu.
🤔🙄🙄Huna kazi ya kufanya wewe unahangaika na wajinga wasiojielewa hivi wewe mtu na akili zako timamu tanzania ni pakufanya uhanaharakati uchwara mdude ni mjinga sana ameacha familia yake inateseka kisa ujinga shenzi kabisa
🙄🙄🙄Cha kufikirisha na cha ajabu ni kuwa mdanganyika anamuua mwenzie kwa kutumwa na mzanzibar hii ni kali
🙄🙄🙄Pole mkuu,kama unaendesha gari ukiona askari police yoyote anakatiza mbele mgonge umuue,hii itasaidi kuponya hiyo hali. Hata mimi ile video ya mkewe Mdude imenitoa machozi,polisi yoyote atakayeingia kwenye 18 zangu sitamuacha.
🤔 🤔 🤔 💭Matukio yanayoendelea kutokea nchini unaweza kujikuta umelewa alafu ukafa na watu bure
Aibu wenye akili Wana buruzwa na kichaaNa aibu kubwa sana
Cha kufikirisha na cha ajabu ni kuwa mdanganyika anamuua mwenzie kwa kutumwa na mzanzibar hii ni kali