kweli ajira imekuwa ni changamoto kubwa ifike mahali serikali ifikirie kwa makini hili suala,kama serikalu hawaajiri wafungue milango ya ajira kwa kutumia private sector,wabuni njia mbalimbali za vijana kujiajir,ila kwa mwendo wa awamu hii hata kupata kazi private sector ni ngumu sana kwanza kila kukicha wanapunguza watu,