Naomba ushauri wenu

Ikra Ally

New Member
Apr 4, 2023
4
7
Habari,

Naitwa Ikra nina miaka 24, mkazi wa Dar Temeke, nilihitimu masomo yangu ya kidato cha 4 mnamo mwaka 2016 na nilipata Division 4 ya (29), japokuwa darasani nilikuwa niko vizuri sana hata matokeo sikuyatarajia kiasi hicho, maana yalini-disappoint kiukweli, nikapanga ni risiti ila mipango ya jeshi ikaingilia kati nikajikuta ku-risiti naachana nako.

Nikakaa mwaka mzma home bila ishu na ishu ya jeshi ikafeli, basi nokapambana nitakapata bahati ya kufanya kazi ya u sales ktk kampuni fulani ambaye mpaka hivi sasa nafanya kazi hapo, natamani nijiendeleze lkn sijui naanzia wapi isitoshe mara nyingi huwa napenda kutembelea blog zinazotoa ajira na nakutana na kampuni zinazohitaji watu wa sales na ofcourse nina experience ya takriban miaka 4 sasa kwenye sales lakini kinachonifelisha ni elimu, kampuni nyingi zinahtaji elimu ambayo mimi sina

Naombeni ushauri pengine nianzie wapi,mbali na hivyo pia natamani sana kujiendleza juu zaidi ya hapa

Naombeni msaada wa mawazo yenu na namna ya kufanya

Nawaombeni sana, Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza kwa namna moja ama nyngne.

Ahsante!
 
But hii changamoto yako ni Tata Sana, Actually kwa IV ya 29 inakua ni resit (kurudia mtihani) ama ni QT kabisa ?? Kama ni hivyo utawezaje kusoma QT huku unafanya kazi ?? Baada ya hapo ukasome diploma Clearly that's costful in term of everything. Tena kwa kitu ambach hun guarantee nacho (Ajira)

Nina mjua mtu mmoja ambae hana elimu ya darasani na yupo kwenye kampuni ya Tiles, Na anaonekana kama Ni kiongozi kwa upande aliopo huko kiwandani so INAWEZEKANA.

As the fact nchi zet hizi Dunia ya tatu Mambo huwa yana jiendeaga tu. Hivyo "Hio ndio namna wewe upo" acha wengine wawe vile just improve yourself and always seek information kuhus mambo yak hayo, Performance yako itamatter tu mbele yao.
 
But hii changamoto yako ni Tata Sana, Actually kwa IV ya 29 inakua ni resit (kurudia mtihani) ama ni QT kabisa ?? Kama ni hivyo utawezaje kusoma QT huku unafanya kazi ?? Baada ya hapo ukasome diploma Clearly that's costful in term of everything. Tena kwa kitu ambach hun guarantee nacho (Ajira)

Nina mjua mtu mmoja ambae hana elimu ya darasani na yupo kwenye kampuni ya Tiles, Na anaonekana kama Ni kiongozi kwa upande aliopo huko kiwandani so INAWEZEKANA.

As the fact nchi zet hizi Dunia ya tatu Mambo huwa yana jiendeaga tu. Hivyo "Hio ndio namna wewe upo" acha wengine wawe vile just improve yourself and always seek information kuhus mambo yak hayo, Performance yako itamatter tu lak

Kuwa mvumilivu mdogo wng, ila katika maisha usiwe mwepesi kukata tamaa mm najuwa hali unayoipitia.
Shukran sana bro,naiman ntafika napopatarajia
Fungua biashara yako mimi natamani kuacha kazi ni utumwa mama
Kweli naweza kufungua biashara,lkn biashara inahtaji vtu ving sana,mbali na hvy pia ndoto zangu ni kujiendleza vile vle...
 
But hii changamoto yako ni Tata Sana, Actually kwa IV ya 29 inakua ni resit (kurudia mtihani) ama ni QT kabisa ?? Kama ni hivyo utawezaje kusoma QT huku unafanya kazi ?? Baada ya hapo ukasome diploma Clearly that's costful in term of everything. Tena kwa kitu ambach hun guarantee nacho (Ajira)

Nina mjua mtu mmoja ambae hana elimu ya darasani na yupo kwenye kampuni ya Tiles, Na anaonekana kama Ni kiongozi kwa upande aliopo huko kiwandani so INAWEZEKANA.

As the fact nchi zet hizi Dunia ya tatu Mambo huwa yana jiendeaga tu. Hivyo "Hio ndio namna wewe upo" acha wengine wawe vile just improve yourself and always seek information kuhus mambo yak hayo, Performance yako itamatter tu mbele yao.
Ila hapo umetudanganya ulikuwa vizuri ukapata hivyo Kwa mitihani ya siku hizi?
Vtu hvo ktk maisha vpo wala c vya kushangaza c wewe tu hata wanafunz wenzang nlosoma nao mpk kesho hawaamn km nilipata 4 kwa vle nilivyokua bright darasani
 
But hii changamoto yako ni Tata Sana, Actually kwa IV ya 29 inakua ni resit (kurudia mtihani) ama ni QT kabisa ?? Kama ni hivyo utawezaje kusoma QT huku unafanya kazi ?? Baada ya hapo ukasome diploma Clearly that's costful in term of everything. Tena kwa kitu ambach hun guarantee nacho (Ajira)

Nina mjua mtu mmoja ambae hana elimu ya darasani na yupo kwenye kampuni ya Tiles, Na anaonekana kama Ni kiongozi kwa upande aliopo huko kiwandani so INAWEZEKANA.

As the fact nchi zet hizi Dunia ya tatu Mambo huwa yana jiendeaga tu. Hivyo "Hio ndio namna wewe upo" acha wengine wawe vile just improve yourself and always seek information kuhus mambo yak hayo, Performance yako itamatter tu mbele yao.
Habari,

Naitwa Ikra nina miaka 24, mkazi wa Dar Temeke, nilihitimu masomo yangu ya kidato cha 4 mnamo mwaka 2016 na nilipata Division 4 ya (29), japokuwa darasani nilikuwa niko vizuri sana hata matokeo sikuyatarajia kiasi hicho, maana yalini-disappoint kiukweli, nikapanga ni risiti ila mipango ya jeshi ikaingilia kati nikajikuta ku-risiti naachana nako.

Nikakaa mwaka mzma home bila ishu na ishu ya jeshi ikafeli, basi nokapambana nitakapata bahati ya kufanya kazi ya u sales ktk kampuni fulani ambaye mpaka hivi sasa nafanya kazi hapo, natamani nijiendeleze lkn sijui naanzia wapi isitoshe mara nyingi huwa napenda kutembelea blog zinazotoa ajira na nakutana na kampuni zinazohitaji watu wa sales na ofcourse nina experience ya takriban miaka 4 sasa kwenye sales lakini kinachonifelisha ni elimu, kampuni nyingi zinahtaji elimu ambayo mimi sina

Naombeni ushauri pengine nianzie wapi,mbali na hivyo pia natamani sana kujiendleza juu zaidi ya hapa

Naombeni msaada wa mawazo yenu na namna ya kufanya

Nawaombeni sana, Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza kwa namna moja ama nyngne.

Ahsante!
Biashara ina siri nyingii sana. Usione watu wanafanikiwa mjini kwa biashara ila nyuma ya pazia kuna mambo mengi. Hiyo ajira yako haina future yoyote, bosi wako anakutumia kukamilisha ndoto yake, ushauri wangu kama unaweza kwenda kusoma nenda kajiendeleze, matokeo yako yanakuwezesha kupata chuo kuanzia ngazi ya certificate then unaweza kwenda hadi degree. Uzuri wa vyeti huwa haviozi, vinaweza kuja kukusaidia huko mbele. Waajiri wengi wa private sector ni wanyonyaji tu. Usiridhike na hapo unapofanya kazi, hakuna future yake ila unamjengea future mwajiri waki. Kumbuka pia umri unaenda, utahitaji kuwa na familia, unavyozidi kuchelewa kumbuka na CV yako inashuka kwa sababu vijana wengi sasa hivi wanakuja kwa kazi sana. Fanya maamuzi hayo sasa. Muda ndio huu.
 
Biashara ina siri nyingii sana. Usione watu wanafanikiwa mjini kwa biashara ila nyuma ya pazia kuna mambo mengi. Hiyo ajira yako haina future yoyote, bosi wako anakutumia kukamilisha ndoto yake, ushauri wangu kama unaweza kwenda kusoma nenda kajiendeleze, matokeo yako yanakuwezesha kupata chuo kuanzia ngazi ya certificate then unaweza kwenda hadi degree. Uzuri wa vyeti huwa haviozi, vinaweza kuja kukusaidia huko mbele. Waajiri wengi wa private sector ni wanyonyaji tu. Usiridhike na hapo unapofanya kazi, hakuna future yake ila unamjengea future mwajiri waki. Kumbuka pia umri unaenda, utahitaji kuwa na familia, unavyozidi kuchelewa kumbuka na CV yako inashuka kwa sababu vijana wengi sasa hivi wanakuja kwa kazi sana. Fanya maamuzi hayo sasa. Muda ndio huu.
Shukran sana bro
 
Habari,

Naitwa Ikra nina miaka 24, mkazi wa Dar Temeke, nilihitimu masomo yangu ya kidato cha 4 mnamo mwaka 2016 na nilipata Division 4 ya (29), japokuwa darasani nilikuwa niko vizuri sana hata matokeo sikuyatarajia kiasi hicho, maana yalini-disappoint kiukweli, nikapanga ni risiti ila mipango ya jeshi ikaingilia kati nikajikuta ku-risiti naachana nako.

Nikakaa mwaka mzma home bila ishu na ishu ya jeshi ikafeli, basi nokapambana nitakapata bahati ya kufanya kazi ya u sales ktk kampuni fulani ambaye mpaka hivi sasa nafanya kazi hapo, natamani nijiendeleze lkn sijui naanzia wapi isitoshe mara nyingi huwa napenda kutembelea blog zinazotoa ajira na nakutana na kampuni zinazohitaji watu wa sales na ofcourse nina experience ya takriban miaka 4 sasa kwenye sales lakini kinachonifelisha ni elimu, kampuni nyingi zinahtaji elimu ambayo mimi sina

Naombeni ushauri pengine nianzie wapi,mbali na hivyo pia natamani sana kujiendleza juu zaidi ya hapa

Naombeni msaada wa mawazo yenu na namna ya kufanya

Nawaombeni sana, Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza kwa namna moja ama nyngne.

Ahsante!
Anza ngazi ya cheti, kozi ya masoko/ masoko na uhusiano wa umma.

NB: kama unamudu ada na usalama wa kazi yako utakuwepo.
 
Back
Top Bottom