Naombeni ushauri: Msichana wangu ana mchepuko

Naombeni ushauri: Msichana wangu ana mchepuko

wewe ndie unayejipa moyo anakupenda lkn hakuna kitu hpo anakupendea kwa sbb unamhudumia ...trust me siku ukiyumba kiuchumi utadhihirisha haya ninayokurleza...msichana mwenye malengo na wewe hawezi kucheat kwa kiwango hicho yaani kosa la kwanza mlipoachana akaamua kuzalishwa ...hujakaa sawa baada ya kurudiana anaendeleza kuto...m...b....w.....a na wewe unasema anakupenda na ana malengo na wewe ....kifupi amekuona dhaifu sn ...makosa yake unapoyagundua anajua atakutuliza kwa maneno gani!!! wewe usioe huyu kahaba labda uendelee kumpiga pumbu tu
Sawa mkuu tafanyia kazi ushauri
 
Sidhani kama mm ndo mchepuko maana hadi kwao nafahamika na bi mdashi wake
Hivi wewe mpaka sasa hujastuka tu kuwa huyo demu ni kicheche na hakufai? Unamtetea nini wakati kazalishwa na bado ana mtu mwingine? huyo mama yake hujui ndio mficha siri wake? unadhani kuongea na mama yake ndio binti hachepuki? kufa na zigo lako la ma.vi naona unashauriwa uelewi. Subiri uone matokeo yake, mtu unakuwa kama bwege wa mapenzi ndio maana wengine wanasema umelishwa limbwata stuka huyo demu wewe ndio mchepuko unaibiwa mchana kweupe kwani ndio m/mke wa kwanza kuwa nae maishani mpk uwe zuzu kiasi hicho? Wanaume kama wewe nadhani ni mmoja kati ya 100 wenye uvumilivu kama wako
 
Yaani mijitu mengine sijui mijiwanaume ya aina gani. demu ana.to,mb.wa kila sehemu na kila mtu yeye eti linakuja kuomba ushauri wa kijinga humu. Halafu utakopoleta uzi nimeathirika sijui i am HIV + unataka tukuonee huruma???
Nyambafu sana unakera wewe jamaaa
 
Kicheche jeuri ,piga chini ,werembo wapo acha ulofa wewe kidume tu.
 
Dah wewe jamaa unaroho ngumu kweli. Yani na mapicha picha yote hayo bado tu unendelea kuwa nae. Fanya maamuzi magumu huyo hakupendi na usiendele kujifariji kuwa anakupenda hapo anatengeneza mazingira ya wewe kumsaidia kulea mtoto. Piga chini
 
Naupuuzi wote anaufanya bado unamng'ang'ania!kweli mapenzi yana run dunia!
 
Back
Top Bottom