Landala JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 997 Reaction score 481 Nov 26, 2017 #181 Ukimuoa huyo demu utakuwa umeoa jamvi la wageni.
Barn JF-Expert Member Joined Feb 28, 2017 Posts 2,733 Reaction score 4,044 Nov 26, 2017 #182 Yani kakipuyangisha hukoooo kazalishwa halafu unataka kuoa! Nataman kupata moyo kama huo na mimi
mwena JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 649 Reaction score 419 Nov 26, 2017 #183 Ukikosea kuoa utateseka maisha yako yote yaliyobaki hapa duniani. Kuoa mtu wa aina hiyo ni sawa na kumuolea mtu mke
Ukikosea kuoa utateseka maisha yako yote yaliyobaki hapa duniani. Kuoa mtu wa aina hiyo ni sawa na kumuolea mtu mke