Kuna dada mmoja alikuwa na ujauzito akawa anakuja kwangu Kila Siku... Siku moja akaniropokea Kwamba Mimi napika mboga za 200!! Kila siku hapo ashakula kwangu km miezi 8 bado kidogo ajifungue[emoji22][emoji22]pole hata mm vivyo hivyo
Asante mkuu maana mie pia mhanga wa jambo hiliMkuu kwenye maisha ni lazima uvae ukauzu na uwe strict na malengo yako.
Punguza kukopesha watu wasiokujali wewe wakati una shida. Na pili pesa zako zipangie malengo mapema zikitoka unazipeleka huko.Kukaa na pesa kwenye acc ndio chanzo cha ww kugawa.
Kijana , siku zote usiwe mwepesi kutoa misada hata iweje, penda kusave sana mtu pekee akikuomba msaada ambae huto sita ni wazazi wako tu. Alafu toa 10% ya unayoombwa, mtu anakuomba umkope 54000/- mwambie nina 5000 tu hapo ndo nayoweza kukuazima na mimi niko tight. Pia usipende kukaa na pesa mvukoni au kutembea sana na ATM card. Umri wako ni mzuri kwa kuanza kusave. Maana ukiwa na familia salary ya 300k unaweza shindwa fanya saving.Ndugu zanguni nimefika mbele yenu hapa kwa lengo la kuomba ushauri wenu .Ni kijana mwenye umri wa miaka 24 sina mke wala mtoto . Ninajituma kwa juhudi zangu kuhakikisha natengeneza maisha yenye unafuu kidogo .huwa napita mengi lakini sijawahi kushikwa mkono hata niombapo msaada,
Lakini mimi ninapojituma kwa juhudi zangu basi marafiki zangu hutafuta sababu mara niwaazime pesa mara nimsaidie ,inafika sehemu naingiwa na huruma kabisa najitaidi kutoa kulingana na uwezo wangu, ila mm nikijaribu kuomba nikiwa na shida huwa sipati zaidi ya kwa mzee wangu au mama yangu wa kambo pekee ndo wenye misaada tosha ila wengine wanakana nikiwaomba ,lkn wao wanahitaji msaada wa hali na mali mpk nafikia stage naona kama msalaba vile .. mpaka inafika sehemu nawaza kwann mimi ni mtu wa kutoa tu lkn kupokea ni ngumu ?
MUDA MWINGINE NDUGU ZANGU, JAMAA ZANGU HUNIANGUSHA KWA ASILIMIA KUBWA KABISA UNAMKOPA NA UKISHAMKOPA BASI NDO HATIMA YA WW NA YY KUONANA WABAYA ILA YOTE KWA YOTE MIE NAJALI UTU ZAIDI .
ILA MPAKA SASA UZALENDO UMENISHINDA YAAI MSHAHARA WANGU 300K KWA MWEZI UNAKUTA WALIONIOMBA NIWAKOPE SI CHINI YA 2 MFANO HUYU HAPA
Kaka nlikwepo na shida na kiasi cha pesa man, nataka nitangulze kwenye kodi please niazime elfu hamsini ntairudisha chuo kikifunguliwa mzeee ,Naomba unipe majbu broooo ntafte namna kma ikshindkana.
Na bado kuna wengine .. huwa najiuliza au umasikini unanitafuna mie .
USHAURI WENU NI MUHIMU SANA
Mimi kuanzia sasa heri lawama kuliko hasara maana kila nikikopa lazima ntadhurumiwa hata nikilipwa huwa nadra sanaKuna dada mmoja alikuwa na ujauzito akawa anakuja kwangu Kila Siku... Siku moja akaniropokea Kwamba Mimi napika mboga za 200!! Kila siku hapo ashakula kwangu km miezi 8 bado kidogo ajifungue
Shukrani mkuu nami nishagundua ugonjwa wangu .Kijana , siku zote usiwe mwepesi kutoa misada hata iweje, penda kusave sana mtu pekee akikuomba msaada ambae huto sita ni wazazi wako tu. Alafu toa 10% ya unayoombwa, mtu anakuomba umkope 54000/- mwambie nina 5000 tu hapo ndo nayoweza kukuazima na mimi niko tight. Pia usipende kukaa na pesa mvukoni au kutembea sana na ATM card. Umri wako ni mzuri kwa kuanza kusave. Maana ukiwa na familia salary ya 300k unaweza shindwa fanya saving.
Mnafundishana tabia mbaya za uchoyo na umimiUsitoneshe vidonda mkuu wengine tuna maumivu sugu.
Nawaachia wahusika wakuhukumu tu mimi siwezi kitu.
Tenda wema nenda zakoKuna dada mmoja alikuwa na ujauzito akawa anakuja kwangu Kila Siku... Siku moja akaniropokea Kwamba Mimi napika mboga za 200!! Kila siku hapo ashakula kwangu km miezi 8 bado kidogo ajifungue
Sio kweli mkuu. Labda hayajakukuta au labda umejaaliwa sana kiasi kwamba hata ukitoa huoni kupungukiwa.Mnafundishana tabia mbaya za uchoyo na umimi
Kwanza nakupongeza kwa moyo wa utoaji ubarikiwe.Ndugu zanguni nimefika mbele yenu hapa kwa lengo la kuomba ushauri wenu .Ni kijana mwenye umri wa miaka 24 sina mke wala mtoto . Ninajituma kwa juhudi zangu kuhakikisha natengeneza maisha yenye unafuu kidogo .huwa napita mengi lakini sijawahi kushikwa mkono hata niombapo msaada,
Lakini mimi ninapojituma kwa juhudi zangu basi marafiki zangu hutafuta sababu mara niwaazime pesa mara nimsaidie ,inafika sehemu naingiwa na huruma kabisa najitaidi kutoa kulingana na uwezo wangu, ila mm nikijaribu kuomba nikiwa na shida huwa sipati zaidi ya kwa mzee wangu au mama yangu wa kambo pekee ndo wenye misaada tosha ila wengine wanakana nikiwaomba ,lkn wao wanahitaji msaada wa hali na mali mpk nafikia stage naona kama msalaba vile .. mpaka inafika sehemu nawaza kwann mimi ni mtu wa kutoa tu lkn kupokea ni ngumu ?
MUDA MWINGINE NDUGU ZANGU, JAMAA ZANGU HUNIANGUSHA KWA ASILIMIA KUBWA KABISA UNAMKOPA NA UKISHAMKOPA BASI NDO HATIMA YA WW NA YY KUONANA WABAYA ILA YOTE KWA YOTE MIE NAJALI UTU ZAIDI .
ILA MPAKA SASA UZALENDO UMENISHINDA YAAI MSHAHARA WANGU 300K KWA MWEZI UNAKUTA WALIONIOMBA NIWAKOPE SI CHINI YA 2 MFANO HUYU HAPA
Kaka nlikwepo na shida na kiasi cha pesa man, nataka nitangulze kwenye kodi please niazime elfu hamsini ntairudisha chuo kikifunguliwa mzeee ,Naomba unipe majbu broooo ntafte namna kma ikshindkana.
Na bado kuna wengine .. huwa najiuliza au umasikini unanitafuna mie .
USHAURI WENU NI MUHIMU SANA
HahahahaNdio kwanza ana miaka 24 hata maisha ya duniani hajayaanza. Atateseka sana kwa hii tabia mpaka atakapokuja ukipata huo ufalme wa. mbinguni.