ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,625
- 2,442
Ndugu zanguni nimefika mbele yenu hapa kwa lengo la kuomba ushauri wenu .Ni kijana mwenye umri wa miaka 24 sina mke wala mtoto . Ninajituma kwa juhudi zangu kuhakikisha natengeneza maisha yenye unafuu kidogo .huwa napita mengi lakini sijawahi kushikwa mkono hata niombapo msaada,
Lakini mimi ninapojituma kwa juhudi zangu basi marafiki zangu hutafuta sababu mara niwaazime pesa mara nimsaidie ,inafika sehemu naingiwa na huruma kabisa najitaidi kutoa kulingana na uwezo wangu, ila mm nikijaribu kuomba nikiwa na shida huwa sipati zaidi ya kwa mzee wangu au mama yangu wa kambo pekee ndo wenye misaada tosha ila wengine wanakana nikiwaomba ,lkn wao wanahitaji msaada wa hali na mali mpk nafikia stage naona kama msalaba vile .. mpaka inafika sehemu nawaza kwann mimi ni mtu wa kutoa tu lkn kupokea ni ngumu ?
MUDA MWINGINE NDUGU ZANGU, JAMAA ZANGU HUNIANGUSHA KWA ASILIMIA KUBWA KABISA UNAMKOPA NA UKISHAMKOPA BASI NDO HATIMA YA WW NA YY KUONANA WABAYA ILA YOTE KWA YOTE MIE NAJALI UTU ZAIDI .
ILA MPAKA SASA UZALENDO UMENISHINDA YAAI MSHAHARA WANGU 300K KWA MWEZI UNAKUTA WALIONIOMBA NIWAKOPE SI CHINI YA 2 MFANO HUYU HAPA
Kaka nlikwepo na shida na kiasi cha pesa man, nataka nitangulze kwenye kodi please niazime elfu hamsini ntairudisha chuo kikifunguliwa mzeee ,Naomba unipe majbu broooo ntafte namna kma ikshindkana.
Na bado kuna wengine .. huwa najiuliza au umasikini unanitafuna mie .
USHAURI WENU NI MUHIMU SANA
Lakini mimi ninapojituma kwa juhudi zangu basi marafiki zangu hutafuta sababu mara niwaazime pesa mara nimsaidie ,inafika sehemu naingiwa na huruma kabisa najitaidi kutoa kulingana na uwezo wangu, ila mm nikijaribu kuomba nikiwa na shida huwa sipati zaidi ya kwa mzee wangu au mama yangu wa kambo pekee ndo wenye misaada tosha ila wengine wanakana nikiwaomba ,lkn wao wanahitaji msaada wa hali na mali mpk nafikia stage naona kama msalaba vile .. mpaka inafika sehemu nawaza kwann mimi ni mtu wa kutoa tu lkn kupokea ni ngumu ?
MUDA MWINGINE NDUGU ZANGU, JAMAA ZANGU HUNIANGUSHA KWA ASILIMIA KUBWA KABISA UNAMKOPA NA UKISHAMKOPA BASI NDO HATIMA YA WW NA YY KUONANA WABAYA ILA YOTE KWA YOTE MIE NAJALI UTU ZAIDI .
ILA MPAKA SASA UZALENDO UMENISHINDA YAAI MSHAHARA WANGU 300K KWA MWEZI UNAKUTA WALIONIOMBA NIWAKOPE SI CHINI YA 2 MFANO HUYU HAPA
Kaka nlikwepo na shida na kiasi cha pesa man, nataka nitangulze kwenye kodi please niazime elfu hamsini ntairudisha chuo kikifunguliwa mzeee ,Naomba unipe majbu broooo ntafte namna kma ikshindkana.
Na bado kuna wengine .. huwa najiuliza au umasikini unanitafuna mie .
USHAURI WENU NI MUHIMU SANA