Naombeni ushauri kwenye mahusiano yangu

Naombeni ushauri kwenye mahusiano yangu

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
488
Reaction score
740
Habari za muda huu GUYS...
Niende moja kwa moja kwenye mada,nipo kwenye uhusiano miaka minne sasa...Nina miaka 23 na mtu wangu ana miaka 20..nampenda &ananipenda sana(tunapendana).
Kwa mara ya kwanza nlikutana nae kimwili mwaka 2018 akiwa bdo virgin kipindi hivyo nasoma advance mkoa flani,alipomaliza 4m alienda dar kwa masomo chuo cha kati ualimu wa shule za msingi level ya certificate ...kabla hajAmaliza masomo tulikua tunakutana mara 1 1...alipomaliza mwaka huu nkaona isiwe tabu aje tutulie magheton kwangu huku chuoni nikiwa na attention kuwa boom nalopata tuweze kujibana afanye chochote kitu akiwa anafukuzia michongo ya kutafta shule ya kufundisha akikosa basi akomae na biashara..biashara ikiwa nzuri basi nani ntakuja ntumie ka mtaji kupambana mtaani nkiwa natafuta ajira...worse situation imekuja pale nlipowashrkisha wazazi kuhusu situation nlonayo walnipinga sana japo awawezi inglia sana maamuzi yangu, zaid walinionya na kunisihi niachane na huyu binti ...skua na 7bu ya binti kumuacha kizembe ikiwa alkua ananiheshimu na ananijali sana nlichoamua mm nkutafta ugomvi ili aondk ilfkia stage nlimpiga na ugomvi usoisha nia yangu aondke ....ilfkia stage akakubali kuondk ...(ikumbukwe tunapendana)kwao ni kujijn maish magumu namimi ndo kidg Nina nafasi ya kumsaidia ijapokuwa ata kwetu hatuko vizuri....bahati nzuri yeye si mtu wa kukaaa ndani tu ni msusi(saloon za wanawake)ko daily lazma aje na kitu kinachotusaidia ...amekaaa wiki ka3 kwao akaniomba tena aje gheto kwangu mkoani ili aweze kufatlia kadi ya nida kwao ofisi za nida zpo mbali, then akshapata aende dar ambako amepata kazi ila wanahitaji nida datz y anafukuzia kadi ya nida..ameweza kdangnya kwao na amerd tn kwangu nami nmekubal coz nampenda ila changamoto ni masomo ila pia anatk tupambane na maish pamoja nami
Sa najikuta niko dillema
Kwa niaminie tuanze maisha au nmpotzee nisome kwanza...asanteni
 

Attachments

  • Screenshot_20201209-022415.jpg
    Screenshot_20201209-022415.jpg
    152.7 KB · Views: 6
kama huna nia na binti wa watu hebu mweke wazi alie kabisa kisha aendelee na maisha yake, usimpotezee muda kama huna malengo naye

ni heri mwanaume ukose pesa kuliko kukosa msimamo.
 
Kuna ndugu yangu mmoja kwa sasa ni mtu mzima siyo kijana alipitia njia kama hiyo hiyo unayotuelezea hapa. Aliamua kukomaa kivyake vyake akaachana na mashauri ya wazazi wake, alikuja kumuoa aliyekuwa mchumba wake wamepata watoto wanne na huwezi amini yeye na mkewe ndiyo wamekuwa msaada sana kwa wazazi wao kiuchumi hadi hivi sasa. Mkewe ni mwalimu na mwanaume anasimamia biashara zao za maduka
 
Karma is the bitch malipo ni hapa hapa machozi ya uyo binti na muda wake na utamu wake ulio upora utaulipa,wazazi wako washakuzaa yes wasikilize sio kila kitu wanapatia mengine ushapewa akili jiongeze we wakubalie but we na mtu wako endeleza penzi lenu

Anyway unachokitafuta utakipata naona bado hujakua ila uyo mwanamke utajamkumbuka when is too late
Kazi kwako dogo embu nitumie namba ya uyo bi dada Pm kuna kitu nimuulize
 
Habari za muda huu GUYS...
Niende moja kwa moja kwenye mada,nipo kwenye uhusiano miaka minne sasa...Nina miaka 23 na mtu wangu ana miaka 20..nampenda &nakupenda sana(tunapendana).
Kwa mara ya kwanza nlikutana nae kimwili mwaka 2018 akiwa bdo virgin kipindi hivyo nasoma advance mkoa flani,alipomaliza 4m alienda dar kwa masomo
Jitahidi kuandika walau vitu vinavyoeleweka masuala ya mtoto wa kiume kutumi ko kwakweli uwa ninaishia hapo siendelei kusoma.
 
Habari za muda huu GUYS...
Niende moja kwa moja kwenye mada,nipo kwenye uhusiano miaka minne sasa...Nina miaka 23 na mtu wangu ana miaka 20..nampenda &nakupenda sana(tunapendana).
Kwa mara ya kwanza nlikutana nae kimwili mwaka 2018 akiwa bdo virgin kipindi hivyo nasoma advance mkoa flani,alipomaliza 4m alienda dar kwa masomo chuo cha kati ualimu certificate ...kabla hajAmaliza masomo tulikua tunakutana mara 1 1...alipomaliza mwaka huu nkaona isiwe tabu aje tutulie magheton kwangu huku chuoni nikiwa na attention kuwa boom nalopata tuweze kujibana afanye chochote kitu akiwa anafukuzia michongo ya kutafta shule akikosa basi akomae na biashara..biashara ikiwa nzuri basi nani ntakuja ntumie ka mtaji kupambana mtaani nkiwa natafuta ajira...worse situation imekuja pale nlipowashrkisha wazazi kuhusu situation nlonayo walnipinga sana japo awawezi inglia sana maamuzi yangu zaid walinionya na kunisihi niachane na huyu binti ...skua na 7bu ya binti kumuacha kizembe ikiwa alkua ananiheshimu na ananijali sana kiukweli nlichoamua mm nkutafta ugomvi ili aondk ilfkia stage nlimpiga na ugomvi usoisha nia yangu aondke ....ilfkia stage akakubali kuondk ...(ikumbukwe tunapendana)kwao ni kujib maish magumu namimi ndo kidg Nina nafasi ya kumsaidia ijapokuwa ata kwetu hatuko vizuri....bahati nzuri yeye si mtu wa kijana ndani ni msusi(saloon za wanawake)ko daily lazma aje na kitu kinachotusaidia ...amekaaa wiki ka3 kwao akaniomba tena aje gheto kwangu ili aweze kufatlia kadi ya nida akiwa kwao ni mbali then akshapta aende dar ambako amepata kazi ila wanahitaji nida datz y anafukuzia..ameweza kdangnya kwao na amerd tn kwangu nami nmekubal coz nampenda ila changamoto ni masomo ila th anatk tupambane na maish pamoja nami
Sa najikuta niko dillema
Kwa niaminie tuanze maisha au nmpotzee nisome kwanza...asanteni
Kiufupi ni kuwa bado umtoto. Hujawa tayari kwa mahusiano ikiwa unachoambiwa na wazazi, unakitekeleza tena kwa kumshambulia mpenzi wako kihisia na kimwili.
Hujapevuka na kuweza kuchukua uamuzi wa nini unataka, mwanzoni ulionesha una nia na mikakati wa jinsi ya kuendesha maisha yenu, ila sasa unataja masomo kana kwamba hapo mwanzoni hayakuwepo.
Msimamo ni kumwacha, basi mwache ili usikwazane na wazazi, bila shaka wanajua kuwa hujapevuka.
 
Kama ww ni mwanaume usie na msimamo basi bure kabisaa hujui unataka nini maishani hujui ufanye nn ili matamanio yako yatimie unapelekeshwa na wazazi mpaka umri huu mifupi we mwenyewe ni tatizo kwa kutokuwa na msimamo
 
Habari za muda huu GUYS...
Niende moja kwa moja kwenye mada,nipo kwenye uhusiano miaka minne sasa...Nina miaka 23 na mtu wangu ana miaka 20..nampenda &nakupenda sana(tunapendana).
Kwa mara ya kwanza nlikutana nae kimwili mwaka 2018 akiwa bdo virgin kipindi hivyo nasoma advance mkoa flani,alipomaliza 4m alienda dar kwa masomo chuo cha kati ualimu certificate ...kabla hajAmaliza masomo tulikua tunakutana mara 1 1...alipomaliza mwaka huu nkaona isiwe tabu aje tutulie magheton kwangu huku chuoni nikiwa na attention kuwa boom nalopata tuweze kujibana afanye chochote kitu akiwa anafukuzia michongo ya kutafta shule akikosa basi akomae na biashara..biashara ikiwa nzuri basi nani ntakuja ntumie ka mtaji kupambana mtaani nkiwa natafuta ajira...worse situation imekuja pale nlipowashrkisha wazazi kuhusu situation nlonayo walnipinga sana japo awawezi inglia sana maamuzi yangu zaid walinionya na kunisihi niachane na huyu binti ...skua na 7bu ya binti kumuacha kizembe ikiwa alkua ananiheshimu na ananijali sana kiukweli nlichoamua mm nkutafta ugomvi ili aondk ilfkia stage nlimpiga na ugomvi usoisha nia yangu aondke ....ilfkia stage akakubali kuondk ...(ikumbukwe tunapendana)kwao ni kujib maish magumu namimi ndo kidg Nina nafasi ya kumsaidia ijapokuwa ata kwetu hatuko vizuri....bahati nzuri yeye si mtu wa kijana ndani ni msusi(saloon za wanawake)ko daily lazma aje na kitu kinachotusaidia ...amekaaa wiki ka3 kwao akaniomba tena aje gheto kwangu ili aweze kufatlia kadi ya nida akiwa kwao ni mbali then akshapta aende dar ambako amepata kazi ila wanahitaji nida datz y anafukuzia..ameweza kdangnya kwao na amerd tn kwangu nami nmekubal coz nampenda ila changamoto ni masomo ila th anatk tupambane na maish pamoja nami
Sa najikuta niko dillema
Kwa niaminie tuanze maisha au nmpotzee nisome kwanza...asanteni
Kuna mwenzio mmoja amepelekwa mahakamani baada ya kuishi na bint muda mreefu alafu hajamuowa

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom