Naombeni ushauri kwa hili

Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
mwang ww oa maan nmke wako
 
Kitanda hakizai haramu, endelea kumpenda na kumsitiri, leeni huyo mtoto bila kujali watu watasemaje.

Ukimwacha atabeba maumivu yakuachwa na kubakwa, so ataumia zaidi
Ahsante sana, na nyumban ntasemaje, kama wakijua ana mtoto
 
Kitanda hakizai haramu, endelea kumpenda na kumsitiri, leeni huyo mtoto bila kujali watu watasemaje.

Ukimwacha atabeba maumivu yakuachwa na kubakwa, so ataumia zaidi
Mkuu kwani aligongewa kitandani?
 
Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
We kama unampenda muoe tu huyo mtoto iwe kama bonus
 
Kwa hiyo baba wa mtoto hajulikani maana walimbaka ni kundi basi wee nenda kapime magonjwa ya zinaa oa mkubwa lea mtoto huwezi jua huko mbeleni baraka huwa zinatoka kwa watu kama hao
 
Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
Mkuu ww kua naye tuu ,usimwache kisa kubakwa ,,ilo mbona jambo dogo tuu kubali mtot awe wako tuu huwez jua bhana
 
Back
Top Bottom