Hili swali zuri sana,maana usikute ni cinema tu imechezwaUna uhakika alibakwa?
Ahsante sana, na nyumban ntasemaje, kama wakijua ana mtoto
Yaaa,,wadada wengi ambao wanavaaga ustaarabu Wakati sio ndo zaoHili swali zuri sana,maana usikute ni cinema tu imechezwa
Sijui kwanini mtu anaamua kudanganyaYaaa,,wadada wengi ambao wanavaaga ustaarabu Wakati sio ndo zao
Hata akiwa sio bikra wanasemaga nilibakwa nikatolewa bikra



jaman hvi ni kweli kabakwa? Tuanzie hapo kwanzaKwahiyo mbakaji alimtoa bikra?Hunielewi, an cyo kwamba nimeishi naye chumba kimoja, hapana, ni kwamba tumeishi karibu you tuu tangia wadogo, na cjawah toka naye kimwili sababu Mimi mwenyewe Nina hofu ya Mungu, alibakwa akiwa ametoka chuo akirudi nyumban mana alikuwa anakaa kwa Dada yake baada ya Baba yake kufariki