Naombeni ushauri kwa hili

Naombeni ushauri kwa hili

Nimeishi naye karib sana Ila kipindi icho nlikuwa mbali kidogo na masomo
Hilo ni tatizo dogo sana kama mkiamua kutunziana siri, kama una mpenda kubali huo ujauzito ila kama una mtafutia sababu muache mapema huyo dada kuliko kupotezeana mda.
 
Sawa labda nikubali, mana tumetoka mbali, na kuna cku nlimjaribu, alikunywa sumu, alijua cmjali kutokana na tatizo lake ndipo nlipothibitisha
Pole zimfikie kwa kweli, matatizo yamesha tokea kubali tu mkuu usijalibu kumuacha kwa tatizo hilo.
 
Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
Mwanaume hapangiw nani wa kuowa.
Kama na wew unayo iman katika Mungu,
Amini hakuna litakalo shindikana, Mshirikishe Mungu kila ufanyalo hakika atakusaidia.
 
Mie nashauri muoane kisha muhame mji pia,
Umemsifia kuwa anayo deen hasa siyo kweli asingekubali kuishi nawewe kijumba bila ndoa,
Mwisho aliyebaka na anayezini bila ndoa ni wale wale tu tofauti huyo ametumia nguvu nawewe umebembeleza.,
 
Ukimwi hana?

Kitaalam mtu akibakwa haraka ataanzishiwa PEP,pia dawa za kuzuia mimba....yote haya yalishindikana?

Chuo kubakwa je ndio yale maisha ya wanafunzi kwenda magetoni?

Hata hivyo muoe tu mkuu.
 
Hunielewi, an cyo kwamba nimeishi naye chumba kimoja, hapana, ni kwamba tumeishi karibu you tuu tangia wadogo, na cjawah toka naye kimwili sababu Mimi mwenyewe Nina hofu ya Mungu, alibakwa akiwa ametoka chuo akirudi nyumban mana alikuwa anakaa kwa Dada yake baada ya Baba yake kufariki
Alikuwa bikra?
 
Unauhakika kama alibakwa?
wanawake ni bongo movie wazuri. Usikute muhuni kamtia mimba afu bibie katafta visingizio..
Nenda nae taratibu afu siku moja ukweli utajulikana...
Siku hizi wanaume wengi tuna matatizo ya nguvu za kiume hata skills na courage ya kubaka imepungua, hatubaki hovyo hovyo.

Sijachangia kwa nia mbaya...

wasalaam

Satan
 
N mtu mmoja na magonjwa nimepima hajapata ugonjwa wowote,
Siku aliyobakwa alikuambia immediately?Ilikuaje hadi akakuambia?

Kama alibakwa kweli hamna sababu ya kumuacha, utamuumiza zaidi.Mpende na msitoe ujauzito mkuu.
 
Bwana kwanza samahani kwa kukuelewa vibaya,
Mie ushauri wa pili kama ingekuwa ni mie
ningewauwa kwanza woote waliombaka,
Kisha namuoa na kwenda kuishi mbaali kidogo nisikofahamika,

Siombei lakini Mwanangu,Mama yangu,Dada yangu au mkewangu akibakwa ilihali nipo hai na mwenye afya siwagusi au kuwakaribia mpaka nimewauwa woote wafanyaji wa hayo.
Hunielewi, an cyo kwamba nimeishi naye chumba kimoja, hapana, ni kwamba tumeishi karibu you tuu tangia wadogo, na cjawah toka naye kimwili sababu Mimi mwenyewe Nina hofu ya Mungu, alibakwa akiwa ametoka chuo akirudi nyumban mana alikuwa anakaa kwa Dada yake baada ya Baba yake kufariki
 
Siku aliyobakwa alikuambia immediately?Ilikuaje hadi akakuambia?

Kama alibakwa kweli hamna sababu ya kumuacha, utamuumiza zaidi.Mpende na msitoe ujauzito mkuu.
Tatizo huyu jamaa hajaeleza vzr mkasa wake, inawezekana janja janja ya demu tu
 
Siku aliyobakwa alikuambia immediately?Ilikuaje hadi akakuambia?
Siku aliyobakwa alikuambia immediately?Ilikuaje hadi akakuambia?

Kama alibakwa kweli hamna sababu ya kumuacha, utamuumiza zaidi.Mpende na msitoe ujauzito mkuu.
Kipindi alipobakwa Nlikuwa na mitian chuon so cm nlikuwa nmezim nkachelewa kupata taarifa
 
Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
Unajuaje kama alibakwa? Wanadamu ni waongo sana hasa anapojua amefanya kosa na hajui ataongea nini kwa aliyemkosea, inawezekana kabisa alikua akifanya mapenzi na mtu mwingine kwa tahadhari asije beba mimba kwakujua wewe ndiye mwenye mpango wa kumuoa lakini tatizo lako hukutaka kutimiza haja zake za kimapenzi kwa kisingizio cha kusubiria ndoa.

Pia inawezekana alikua akikaa karibu na mwanaume ambaye huwa anamsumbua kimapenzi na kumshawishi mwanaume huyo kumuwekea mbinu za kumuingilia kimapenzi bila maandalizi au tahadhari ya mimba na kwakua walishafanya mazoea basi mwanamke akajikuta kapandwa na genye akaachia kisha kijana wa watu kala mzigo.

Wiki chache baadaye mchumba wako kagundua ana mimba na kapewa na mtu asiyemtarajia hivyo njia pekee ya kujiweka salama katika uchumba wenu ni kusingizia kabakwa.

Kama moyo wako umeridhia oa lakini tambua mwanamke huyo ni dhaifu sana kichwani pia atakuja kukutana na mzazi mwenzie kipindi mnaishi katika ndoa na atapigwa tu. Hao ni wapenzi wala usijidanganye kabakwa na kilio chake ni hofu ya uchumba wenu kuharibika.


CHUKUA HATUA MAPEMA, NARUDIA CHUKUA HATUA MAPEMA
 
Mhmmmmmm. Nasema mhmmmmmm, Narudia tena mhmmmmmm mhmmmmmm huu mtihani ulikuwa WA kidato cha ngapi maana mgumu haufanyiki kabisaaaa
 
Unajuaje kama alibakwa? Wanadamu ni waongo sana hasa anapojua amefanya kosa na hajui ataongea nini kwa aliyemkosea, inawezekana kabisa alikua akifanya mapenzi na mtu mwingine kwa tahadhari asije beba mimba kwakujua wewe ndiye mwenye mpango wa kumuoa lakini tatizo lako hukutaka kutimiza haja zake za kimapenzi kwa kisingizio cha kusubiria ndoa.

Pia inawezekana alikua akikaa karibu na mwanaume ambaye huwa anamsumbua kimapenzi na kumshawishi mwanaume huyo kumuwekea mbinu za kumuingilia kimapenzi bila maandalizi au tahadhari ya mimba na kwakua walishafanya mazoea basi mwanamke akajikuta kapandwa na genye akaachia kisha kijana wa watu kala mzigo.

Wiki chache baadaye mchumba wako kagundua ana mimba na kapewa na mtu asiyemtarajia hivyo njia pekee ya kujiweka salama katika uchumba wenu ni kusingizia kabakwa.

Kama moyo wako umeridhia oa lakini tambua mwanamke huyo ni dhaifu sana kichwani pia atakuja kukutana na mzazi mwenzie kipindi mnaishi katika ndoa na atapigwa tu. Hao ni wapenzi wala usijidanganye kabakwa na kilio chake ni hofu ya uchumba wenu kuharibika.


CHUKUA HATUA MAPEMA, NARUDIA CHUKUA HATUA MAPEMA
Wasema kweli mkuu.
Mbali na changamoto hzo chache ambazo anaziona yeye, inaweza kutokea kubwa zaidi mbelen ambayo ni kwamba hata huyo mwanamke hatujui kama ataweza kumchulia yeye kama mume na kukubali kutulia kwenye ndoa.

Best thing.. umakin
Je nichaguo sahihi.? Being judgmental.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom