Naombeni ushauri kwa hili

Naombeni ushauri kwa hili

Na Wewe muda Si mrefu tunakupoteza Maana Kuna kakauli umekasema hapo NIKISHAAJIRIWA sipati Picha ukitoswa na jiwe.. R. I. P
Nina mpenzi Ila bado hatujafunga ndoa sababu bado naendelea na masomo, tumeishi pamoja mda mrefu sana kwaiyo tabia zake nazijua sana, ni mchamungu na ana hofu ya Mungu, Ananipenda sana hata sasa hawezi kukaa saa bila kunitafuta,
Kuna cku akiwa ametoka chuo alibakwa na kupewa ujauzito, nliumia sana kwani alikuwa analia sana na nlipenda familia yangu niipange maisha yangu yakinyooka yani Nkishaajiriwa, hatutaki kutoa kwasababu ni dhambi pia ntakuwa nimemwingiza matatizoni kiafya,
Nawaza jinsi ya kulea na itakuwaje cku nkimpeleka nyumban kwetu kwamba ndiye nliyempenda,
Ushauri wenu jamani,
 
Hunielewi, an cyo kwamba nimeishi naye chumba kimoja, hapana, ni kwamba tumeishi karibu you tuu tangia wadogo, na cjawah toka naye kimwili sababu Mimi mwenyewe Nina hofu ya Mungu, alibakwa akiwa ametoka chuo akirudi nyumban mana alikuwa anakaa kwa Dada yake baada ya Baba yake kufariki
Habari hizo na kubakwa ndugu zake wanajua??? Vipi aliembaka yupo wapi??? Kafunguliwa kesi???
 
You are living in the isolated world.. Nahisi upo pluto mzeee maana una mawazo ya kizamani mnooo yani zamani kuliko zamani yenyewe..

UTAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA..
Sawa mkuu, Ila kibinadam c rahisi lakini kama umecmama kiimani huwezi ona sababu ya Kushindwa kujizuia kufanya mapenzi kabla ya ndoa
 
Yaani alikuwa bikra, akabakwa na kupewa mimba siku hiyo hiyo.

Na wewe ukiwa kwenye mitihani unazima simu mwezi mzima mpaka mitihani iishe..!

Hahahahahhh, hii chai haina sukari
Chai ya kifalaa sanaa aisee... Najuta hata kuchangia mamaee zake fwalaa huyuu
 
Nyie walokole mnashida kweli ninyi ,,,,,,,,,,hata mama yako mzazi atakushauri uitoe but ninyi huwa n kichwa ngumu
 
Mkuu una uhakika gani kua alibakwa????umesena hana tabia hizo una uhakika gani Mkuu?Hope unatrack maisha yake kujua kua hana hayo mambo

kuna madada wanajua how to act Mkuu na unaweza ingizwa Gongo la mboto na ukahisi ni Masaki so watchcout?
 
Sawa labda nikubali, mana tumetoka mbali, na kuna cku nlimjaribu, alikunywa sumu, alijua cmjali kutokana na tatizo lake ndipo nlipothibitisha
Kamwe usije mwamini mwanamke maisha ni mwako
 
Sasa unataka nini

Kaa naye si ulijinyenyea kumpa mimba wenzako wamempa sasa


Na ulijuaje kuwa kabakwa kama hakujipeleka

72 hrs withini anatakiwa atibiwe, moja wapo anapewa emergency contraceptive sasa mpaka apate ujauzito yaani kugundulika ni mpaka baada ya 2 wks baada ya kutoka...mbwaaaa
 
Halafu hivi vistori vyenu muwe mnaelezana kwenye magroup yenu ya Whatsapp na Facebook
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom