asante sana, tena ukimuona yeye ni mzuri sana wa sura na umbo kuliko mimi ila ndiyo hivyo tuu
angalia asije kuwa kaolewa na jini sasa anakuzuia wewe usiolewe!
asante sana, tena ukimuona yeye ni mzuri sana wa sura na umbo kuliko mimi ila ndiyo hivyo tuu
Unataka kurusha njiwa wake. Kwa mwanaume akijua kuwa ulikuwa na mpaka mjapani, jua atakuacha kesho yake. Mshauri anyamaze ila akawaonye wazazi wake wasimwamini dada akisema kaishaiona na kuigusa papuchi yake. Hiyo ndiyo dawa ila akiwataja wote waliomgusa ndo ataisikia Radio One. Bado nusu lita
tena ukimuona ni mzuri kweli kwa surana umbo lakini ndiyo hivyo tena, ninamsomea mama yangu post zenu anasema kwa kweli ni bora kumuweka chini
Pole, mweleze in short uyo mmeo mtarajiwa tabia za ddko zngne atazijua taratibu.Af this tym mwambie week moja kabla ya haruc.
angalia asije kuwa kaolewa na jini sasa anakuzuia wewe usiolewe!
Duniani usidhani unayoyapitia au kukupata ni makubwa kuna mambo ukiambiwa huwezi kuamini hata kwa kuchinjwa......kama hili duh! pole ila mimi nakushauri fanya na harusi kabisa uje kumshtukizia una wato wato wawil au watatu hivi kwamba una mchumba.
Kwa sasa usimwambie...
Na kwa mchumba wako nadhani ni vizuri ukamwambia kama anakuamini na nimu elewa ila kama si muelewa ni bora usubiri mfunge pingu ndio umfungukie tabia ya dada ako....
Maana usije ukamwambia akataka kuhakikisha ikawa janga juu ya janga.....
ILA
Kwa nini wazazi na ndugu wasikae chini na dada yako na kumueleza tabia zake si nzuri ?? Ina maana home kwenu mnamuogopa au niaje?? Mwekeni chini!! MAana inaonekana mnakimbia tatzo badala ya kulitatua ipo siku bomu litalipuka na itakua mbaya zaidi ya kuzuia usiolewe....[/QUOT
asante sana kwa ushauri, kiukweli nimsichana mwenye tabia za ajabu yeye kukupopoa mawe kwake si jambo la ajabu hivyo naona ndugu wote wanamuogopa na isitoshe mimi sijakaa nae sana nilivyokuwa mdogo nimekuja kukaa nae sasa, mama yetu ni mganda hivyo mimi niliishi sana uganda na mama zangu wakubwa, hivyo hata tabia zetu ni tofauti sana. kuhusu mchumba ni mtu mwelewa sana nina imani nikimueleza atanielewa vizuri, sikujua kwa kuanzia kumwambia
Duh huyo dada ana roho ya ajabu.
Kuwa na subira rafiki shitondo yangu tusawa mkuuu... hiyo nusu lita naisubiria ijae kwa kweli
kama nyie ni wakristo pelekeni kwenye maombezi mapema sana, eboh! .hilo ni pepo tena inawezekana ni jini mahaba limeshamkamata halitaki tena mwanaume yoyote awe nae ndo maana hawezi kudumu na mwanaume
Cha msingi na muhimu ni kuwa mpaka sasa hata baba zako wadogo wameshamjua dada yako ni.nyoko wa ndumilakuwili.
Nikujipanga kwa lolote kuhusu suala la ndoa na pia ni lazima atakuja kukuharibia
Funga ndoa halafu unaweka mikakati mizito ya kuoshi mbali na huyo dada yako pia kata mawasiliano naye.
haendi na mara nyingi nimeona bora kuchukua nguo yake ikaombewe ikirudi haivai tena, tumeshajaribu njia nyingi kujua tatizo lake ila wapi, hadi kwa madaktari wa akili baba yangu alienda kuomba nafasi ya kumuona ila akiambiwa anatakiwa hospitalini anahama kabisa home anakaa kwa rafiki zake hata mwezi then anarudi,